JamiiForums Usiku wa manane
Hahahaha
Kumbe ni kabla, sasa ukiona comment kama hiyo hata la kufanya unashindwa
Then you are safe, na mimi nimegundua wale ambao hakuna mtu anajua maisha yao ya nje wala jinsi walivo hapa jf ndio anapata raha na anakuwa huru.
Hahah hio ni kweli kabisaa mkuu.
 
Humu kuna mjomba kwenye thread 1 picha zake ziliwekwa kutolewa huko fb, mjomba alikua anaomba ushauri kwamba ana machine kubwa inamuumiza mkewe,wadau wakaweka picha zake akiwa ofisini mara kapiga picha ameegemea toyota runX akaambiwa jamaa na machine yako kubwa na mbupu zako 2 kazi yako ni kuegemea tu magari ya vidume wenzako hapo ofisin kwenu hahah noma sana.
Humu htariii aiseee ni zaid ya Guantanamo bay
 
Hahahah
Eeeh! Lazima, au fikiria hata asipo kutaja kwa jina tuu sku una kuta ana expose mambo yako hapa. Wanachangia na mashoga zake. Itabid ukaushe ukiwa una umia hvo hvo.ila raha ya relationship ni privacy kwa kweli.
Privacy muhimu sana bro,yanaweza kukuta ya lemutuz kama utani vile hahah
 
Kwani mkuu washkaji wanataka uhalisia kabisaa au wanataka tu gundi isigande kwenye chupa yake mkuu?
Hata kama lakini at least umjue mtu.
Kama unatala kunasisga gundi tuu basi hata hapa pana kufaa. Hahaha
 
Instagram ni kama Album ya picha. Hivyo mtu anaona anaweka zile picha kali tuu jambo kama ni mshamba utamsoma tuu na kama ni slay queen utamtambua. Facebook tamu bwana alafu ina option nyingii.
 
Humu kuna mjomba kwenye thread 1 picha zake ziliwekwa kutolewa huko fb, mjomba alikua anaomba ushauri kwamba ana machine kubwa inamuumiza mkewe,wadau wakaweka picha zake akiwa ofisini mara kapiga picha ameegemea toyota runX akaambiwa jamaa na machine yako kubwa na mbupu zako 2 kazi yako ni kuegemea tu magari ya vidume wenzako hapo ofisin kwenu hahah noma sana.
Hahahahaha
Sasa adha kama hizi za nini kweli!!
Ukute hapo akiwahi kujichanganyanya kwa demu aka mjua
Ikawa imekula kwake
 
Kule ni easy xna kwnz unamperuz MTU na kumdadis vzr unardhika nae halaf michongo mingne kama kawa mm kuna jamaa yng ameoa mke mzr lkn alimpata Fb bla kutarajia wakaanza kama utani mpk sasa hv Ana watoto wawil.
Saaana
Yaan watu wa kule si hawanaga swaga halafu ni watu wa kila aina
Hado watu wa bush wamo mule
Ni easy
 
Privacy muhimu sana bro,yanaweza kukuta ya lemutuz kama utani vile hahah

Yaan mimi.mna nivunja mbavu aki.

Eeeh! Na yule si mama ako ukimtenda na yeye lazma akutende.
Ila uanaume kazi jamani
 
Back
Top Bottom