JamiiForums Usiku wa manane
Aaah
Sasa ndugu yangu unadhani tutafajya nn hiyo 26/4 ?
Sioni waandamanaji bongo hii
Na mimi mtizamo wangu ni huo huo,wakina Mbowe walipgwa ndani nikaona kimya nika conclude hata siku hio itakua kawaida tu,ila nashauri watu wawe na misosi ya kutosha ndani kwao kwnt tarehe hizo sijui kwanini hahah
 
Kwani mchiz yuko siriazi?kuna mchiz flani humu anapenda ku taggiana na demu wake kila saa,siku 1 nacheki ile thread ya sehemu gani ya hatari uliwahi kufanyia mapenzi nikaona demu ameandika Msibani hahah,humu sio pazuri aisee.

Atakuwa alikuwa ana tania tuu

Ila zile swaga sasa ndio huwa sikubali. Tafuta mtu ukimpata piga kimya kimya halaf sio kila nyuzi mko wote mtakwazana mwishoe
 

Atakuwa alikuwa ana tania tuu

Ila zile swaga sasa ndio huwa sikubali. Tafuta mtu ukimpata piga kimya kimya halaf sio kila nyuzi mko wote mtakwazana mwishoe
Hahah kipindi ana comment alikuaga bado hajajuana na mchiz,mambo ya kutaggiana yalikua bado.

Aisee mm demu hata akija PM nahisi ni mtekaji/watu wasiojulikana nalala zangu mbele hata sijibu,hahah
 
Hahahahhhh ndio maana umakin unahtajka wasiojulkiana wakikujua utajuta

Halafu numegundua hapa ni padogo sana kwa hiyo ukipiga tu tukio mtu aka share ba shoga yake. Hadi usalama wa taifa watakujua. Na wanaume nao wapo wajeuri wana azingua masista sana humu
 
Na mimi mtizamo wangu ni huo huo,wakina Mbowe walipgwa ndani nikaona kimya nika conclude hata siku hio itakua kawaida tu,ila nashauri watu wawe na misosi ya kutosha ndani kwao kwnt tarehe hizo sijui kwanini hahah
Kweli aisee mm mwenyew nataka Bi mkubwa nimtupie hela before anunue misos ya kutosha xna
 
Na mimi mtizamo wangu ni huo huo,wakina Mbowe walipgwa ndani nikaona kimya nika conclude hata siku hio itakua kawaida tu,ila nashauri watu wawe na misosi ya kutosha ndani kwao kwnt tarehe hizo sijui kwanini hahah
Teh teh
Mi nikiona watu wako siriaz kuandamana ntawaunga mkono
Ttzo sidhani kama kutatokea hiyo ishu
 
Mi huwa nahisi bhana kila mtu na bahat yake
Insta una uhakika wa kumpata demu lakini nako wengi hawanaga life la uhalisia
Kwani mkuu washkaji wanataka uhalisia kabisaa au wanataka tu gundi isigande kwenye chupa yake mkuu?
 
Hahah kipindi ana comment alikuaga bado hajajuana na mchiz,mambo ya kutaggiana yalikua bado.

Aisee mm demu hata akija PM nahisi ni mtekaji/watu wasiojulikana nalala zangu mbele hata sijibu,hahah
Hahahaha
Kumbe ni kabla, sasa ukiona comment kama hiyo hata la kufanya unashindwa
Then you are safe, na mimi nimegundua wale ambao hakuna mtu anajua maisha yao ya nje wala jinsi walivo hapa jf ndio anapata raha na anakuwa huru.
 
Hahahahhhh ndio maana umakin unahtajka wasiojulkiana wakikujua utajuta
Humu kuna mjomba kwenye thread 1 picha zake ziliwekwa kutolewa huko fb, mjomba alikua anaomba ushauri kwamba ana machine kubwa inamuumiza mkewe,wadau wakaweka picha zake akiwa ofisini mara kapiga picha ameegemea toyota runX akaambiwa jamaa na machine yako kubwa na mbupu zako 2 kazi yako ni kuegemea tu magari ya vidume wenzako hapo ofisin kwenu hahah noma sana.
 
Hahahaha
Fb ni nzuri kwakuwa ni mtandao usio na swaga halaf kuna watu wengii hivo hu2a kuna reflect uhalisia.
Yaan kulr mtu kupiga picha yuko shambani haoni shda.
Nadhani ni afadhali kule
Kule ni easy xna kwnz unamperuz MTU na kumdadis vzr unardhika nae halaf michongo mingne kama kawa mm kuna jamaa yng ameoa mke mzr lkn alimpata Fb bla kutarajia wakaanza kama utani mpk sasa hv Ana watoto wawil.
 
Back
Top Bottom