JamiiForums Usiku wa manane
Hahah kweli kabisaa mkuu humu ni paajabu sana mwingine aliweka mpk vyeti vyake vya UD kapiga ma 1st class,o'level na A'level division 1 akawa anasema yeye anacheza forex kwa sababu inampa mil 3-4 kila wiki sisi wengine ni vilaza tu mara paap mode wakafanya yao jamaa kwa id nyingine alikuwa anaomba ushauri anataka akope mil 2 bank afu aache kazi,hahah
Hahahah
Mbona hiyo mikasa mi huwa si ipati et
Au kwa kuwa shift yangu ni night
 
Wazee fanyeni yote ndoa ni kitu cha kuheshimu Sana hta kama umeoa pipa au dumu lakn mke au mume ni ktu cha kuthamin kiingiapo na kitokapo
Daah! Braza kweli yaan hakuna mtu namheshim kama mke wa mtu yaan.
 
Hahah kweli kabisaa mkuu humu ni paajabu sana mwingine aliweka mpk vyeti vyake vya UD kapiga ma 1st class,o'level na A'level division 1 akawa anasema yeye anacheza forex kwa sababu inampa mil 3-4 kila wiki sisi wengine ni vilaza tu mara paap mode wakafanya yao jamaa kwa id nyingine alikuwa anaomba ushauri anataka akope mil 2 bank afu aache kazi,hahah
Hahahaha
 
Weww jitahidi uzulule majukwaa mbali mbali.
Ila epuka ID zenye fujo fujo
Tafuta mtu alo tulia
Kwani mchiz yuko siriazi?kuna mchiz flani humu anapenda ku taggiana na demu wake kila saa,siku 1 nacheki ile thread ya sehemu gani ya hatari uliwahi kufanyia mapenzi nikaona demu ameandika Msibani hahah,humu sio pazuri aisee.
 
Back
Top Bottom