Lee Swagger
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 1,070
- 1,816
Ukivuta Bangii kidogo / ukibywa pombe. Ukiwa sober utaelewa.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kuna mmoja wetu kalewa
Either ni sisi wananchi au vingozi wetu. Maana yanao endele nchi hii ni vitukoo
Ukivuta Bangii kidogo / ukibywa pombe. Ukiwa sober utaelewa.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kuna mmoja wetu kalewa
Either ni sisi wananchi au vingozi wetu. Maana yanao endele nchi hii ni vitukoo
HahahahaNjombe nilikuwepo mwaka jana. Ilikuwa mwezi wa saba. Cha kushangaza madogo kule wanatembea peku na kula barafu!!!! Nyanda za juu June, July na August sio kwa kawaida.
Na iwe hivyo mkuu. Bado nipo nipo kwanza. Nimepitia mengi. Hiyo ni story ya wakati mwingine!!Na mm one day tu ntapata mdada mstaarabu au limama langu moja humu safi tutakuw tunaitana baby, sweetie,honey yan nimuheshimu aniheshimu itakuwa poa sana.
AaahMwisho wa mwezi huu kitaeleweka...
Hongera sana!!Wakuu shemeji yenu kaamua kunitafutia usingizi.......byeeee



Hahahahhhhh nmcheka kwa saut xna mpk nahs watu watajua naota kumbe npo mkeshaniMkuu humu ni noma sana kuna dada alikuaga anajiita ladyboss sijui nini kama wakina zari vile mara paaap id ikaunganishwa alikua anauza kitanda anatafuta mteja hahah,ndo mambo ya humu ndg yangu.







HahahahaAweke na tumashine twa juice tuwili tu, kiwanda hicho na kinastahili kuzinduliwa!!!
AaaahMnh. Kwa hiyo wake wa watu wengine fair game?! Tumesema ndoa ziachwe ukasema tutatubu. Tuendelee kumsaidia mkuu na huyo Mumu!!!
Weww jitahidi uzulule majukwaa mbali mbali.Nitamtafuta mwingine nimletee jamvinii
HahahaSi hivyo vya kujipanga mstari na kupiga makofi. Kusema hoyeee wakati uko hoi!!! Bora nilime tu.
Hahah kweli kabisaa mkuu humu ni paajabu sana mwingine aliweka mpk vyeti vyake vya UD kapiga ma 1st class,o'level na A'level division 1 akawa anasema yeye anacheza forex kwa sababu inampa mil 3-4 kila wiki sisi wengine ni vilaza tu mara paap mode wakafanya yao jamaa kwa id nyingine alikuwa anaomba ushauri anataka akope mil 2 bank afu aache kazi,hahahHahahahhhhh nmcheka kwa saut xna mpk nahs watu watajua naota kumbe npo mkeshani![]()
Wazee fanyeni yote ndoa ni kitu cha kuheshimu Sana hta kama umeoa pipa au dumu lakn mke au mume ni ktu cha kuthamin kiingiapo na kitokapoAaaah
Mkuu mimi sewezi kumfanyia hivo shemeji
Ingekuwa hainiathiri moja kwa moja ningemsaidia
Halaf nimetafakari ushauri wako ni bora tu iheshimu ndoa tu.
HahahahahMkuu humu ni noma sana kuna dada alikuaga anajiita ladyboss sijui nini kama wakina zari vile mara paaap id ikaunganishwa alikua anauza kitanda anatafuta mteja hahah,ndo mambo ya humu ndg yangu.


. Adios amigos. Nipate hata lepe haya masaa mawili. Mkesha mwema!AaahBusara hii mkuu. Useja nao mnh!!!
Kuna yule miss natafuta anaweza akamcheki pia,hahahWeww jitahidi uzulule majukwaa mbali mbali.
Ila epuka ID zenye fujo fujo
Tafuta mtu alo tulia
Hii kama nliwah kuipata hvHahah kweli kabisaa mkuu humu ni paajabu sana mwingine aliweka mpk vyeti vyake vya UD kapiga ma 1st class,o'level na A'level division 1 akawa anasema yeye anacheza forex kwa sababu inampa mil 3-4 kila wiki sisi wengine ni vilaza tu mara paap mode wakafanya yao jamaa kwa id nyingine alikuwa anaomba ushauri anataka akope mil 2 bank afu aache kazi,hahah

Hahah vyenye tin no. 1 lknHahahaha
Hivi si walisema ukiwa ba blenda ndio tayari kiwanda eeh?
Kwa hiyo hapo watakuwa wna zindua viwanda 4
AaaahUkivuta Bangii kidogo / ukibywa pombe. Ukiwa sober utaelewa.
Unge tuangushia hints kidogo mkuuNa iwe hivyo mkuu. Bado nipo nipo kwanza. Nimepitia mengi. Hiyo ni story ya wakati mwingine!!