JamiiForums Usiku wa manane
Na mm one day tu ntapata mdada mstaarabu au limama langu moja humu safi tutakuw tunaitana baby, sweetie,honey yan nimuheshimu aniheshimu itakuwa poa sana.
Hahahaha
Braza mbona wapo wengi tuu
We ingia sana MMU huko huta kosa
 
Mungu mwenyewe kawapa nyusi wanazikwangua na kupaka masizi!!! Kuwaelewa ni ngumu!! Ila ni viumbe muhimu tu!
Eeeh
Umeona sasa kama wana shindana na Mungu sisi ni akina nan hasa hata tuwaweze
Ni bora kuwa acha kama walivo tu ndugu yangu
 
Hahah wamesema kuna mazoezi ya namna ya kupambana na ugaidi,kuzuia maandamano na mengineyo mkuu(na ni serious mkuu)

Kuna mmoja wetu kalewa

Either ni sisi wananchi au vingozi wetu. Maana yanao endele nchi hii ni vitukoo
 
Na mm one day tu ntapata mdada mstaarabu au limama langu moja humu safi tutakuw tunaitana baby, sweetie,honey yan nimuheshimu aniheshimu itakuwa poa sana.
Mkuu humu ni noma sana kuna dada alikuaga anajiita ladyboss sijui nini kama wakina zari vile mara paaap id ikaunganishwa alikua anauza kitanda anatafuta mteja hahah,ndo mambo ya humu ndg yangu.
 
Back
Top Bottom