Myfancyface
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 948
- 900
Kuna sku utashangaa atazndua ktu cha promosheni ya "Dunda Dunda" kwny mtandao wa Vodacom au Tigo![]()



Kuna sku utashangaa atazndua ktu cha promosheni ya "Dunda Dunda" kwny mtandao wa Vodacom au Tigo![]()



Labda nguvu zote zilihamia mikononi na kuacha misuli mingine hoi![]()
Atajua yeye ila kuna siku alimlainishia mzinduzi swali aliloulizwa na mzungu likawa limeingilia sikio la kulia likatokea la kushotoHahah M7 anasemaga "our problem is tunaongea kiingereza cha kiswahili" sijui ndo kikoje hicho.
HahahahaWeee braza
Mke wa bro wangu yule jiheshimuuu
![]()
![]()
![]()
Kweli acha tuuu. Heshim ndoa
Hahah aisee inawezekana hioLabda nguvu zote zilihamia mikononi na kuacha misuli mingine hoi![]()
Mungu mwenyewe kawapa nyusi wanazikwangua na kupaka masizi!!! Kuwaelewa ni ngumu!! Ila ni viumbe muhimu tu!Kaka wanawake bhana huwa hawaridhiki
Aliye olewa na maskini ana cheat na mwenye pesa
Aliye olewa na mwenye pesa ana cheat na garden boy
Mi hadi leo sja fanikiwa kuwaelewa wanawake
Hahah wamesema kuna mazoezi ya namna ya kupambana na ugaidi,kuzuia maandamano na mengineyo mkuu(na ni serious mkuu)Hahahaha
Hivi Rais wetu hana kazi kabsaa maana mi sha waja wahi ona mambo anayo yafanya.
Ana angalia Mazoezi ya polisi ili iweje sasa?
Hamna aende hta china, marekani etcLabda aende na mseven si unajua lugha ya malkia
HahahahaBalal atakua amemiss kale ka mkasi kake kama fundi nguo aliyestaafu kushona aisee.
Hapo kwenye kucheza part yako ndo kuna shughuli brazaHahaha
Tuwe nao
Ila usiwekeze akili yamo yooote kwao uta ishia kuumia tuu.
Wanasema cheza part yako bas mengine mwachie ata amua
Vitu gani hivo?Hivi vitu huwa viko kushoto sana!!! Bora nipalilie migomba yangu!
Una mawazo na ndoto kama zanguu tuuNa mm one day tu ntapata mdada mstaarabu au limama langu moja humu safi tutakuw tunaitana baby, sweetie,honey yan nimuheshimu aniheshimu itakuwa poa sana.
Yes hakuna namnaaaNdio staili yake ya uongozi. Tuwe wapole tu!!!
Hivi hakua Inna kweli(if am not mistaken bro).Braza hebu mtaje![]()
Una nisingizia
Njombe nilikuwepo mwaka jana. Ilikuwa mwezi wa saba. Cha kushangaza madogo kule wanatembea peku na kula barafu!!!! Nyanda za juu June, July na August sio kwa kawaida.Hahaha
Wewe huko uliko hakuwez izidi sehem inaitwa njombe
Kule ni kibokoo.
Mwisho wa mwezi huu kitaeleweka...Yes hakuna namnaaa
Maana ndio asha kamata nchi
Ila ana nichekesha
Kama bado atakua na nafasi au la....Yes hakuna namnaaa
Maana ndio asha kamata nchi
Ila ana nichekesha