Myfancyface
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 948
- 900
Yaan mpaka hapa siamini nasubiri hiyo kesho nione kama ni kweli
Maana hata Bilal alikuwa ni mzinduaji ika hakufika stage ya kuzindua wigo
![]()

Yaan mpaka hapa siamini nasubiri hiyo kesho nione kama ni kweli
Maana hata Bilal alikuwa ni mzinduaji ika hakufika stage ya kuzindua wigo
![]()

HahahaMnh! Kuna kaubaridi fulani huku niliko. Maji sishiki usiku wa manane huu.
Labda aende na mseven si unajua lugha ya malkia![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Jamaa sio hana kazi ni mvivu tuu
Rais utakosaje kazi.
Mambo ya kuzindua hayo ni makamu wa Rais.
Aende nje akasafishe macho sasa
Ni lazima tuu huu si ndo mwezi mgumu kuliko wote kwa Serikali.Mwanangu naona umeshajitayarisha kisaikolojia hahah
Balal atakua amemiss kale ka mkasi kake kama fundi nguo aliyestaafu kushona aisee.Yaan mpaka hapa siamini nasubiri hiyo kesho nione kama ni kweli
Maana hata Bilal alikuwa ni mzinduaji ika hakufika stage ya kuzindua wigo
![]()
HahahahNdoa na iheshimiwe na watu wote!!!![]()
HahahahaKuna sku utashangaa atazndua ktu cha promosheni ya "Dunda Dunda" kwny mtandao wa Vodacom au Tigo![]()
Tutamwona pia Mnyeti katika Ubora Wake. Mzee Vocal diarrhea pia....Nasubiri live nione itakuwaje.
Hahah 26/4 na bado kuna Mei mosi tena pale,wafanyakazi wajiandae andaeNi lazima tuu huu si ndo mwezi mgumu kuliko wote kwa Serikali.
Weee brazaAnaitwa (Mumu.)
migomba ya uhayani nn?Hivi vitu huwa viko kushoto sana!!! Bora nipalilie migomba yangu!
Vitu gani mkuu?Hivi vitu huwa viko kushoto sana!!! Bora nipalilie migomba yangu!
Ndio staili yake ya uongozi. Tuwe wapole tu!!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Halafu huyu mzee hakai ofisini, nje haendi kwa hiyo anabaki anazulula zulula tuu.
We Rais gani mara azindue mgari, mara azindue tawi la benki
Ana nchsha kweli mzee baba
HahahahaAkitoka hapo atakua pale uwanja wa sheikh Abeid akiangalia police wakifanya mazoezi yao.
Alienda wapi?!Kulikuaga na manzi m1 hivi hapo zamani kidogo alikuaga nae bize sana na Iceman kwenye huu uzi sijui aliishia wapi
Hahah M7 anasemaga "our problem is tunaongea kiingereza cha kiswahili" sijui ndo kikoje hicho.Labda aende na mseven si unajua lugha ya malkia
Maji ni neno tata hasa nyakati za usku mkuu hebu fafanua
H2O mkuu. You have a dirty mind!!!!







HahahaSasa dawa ni nini mkuu?Kuwa waseja tu au?
Hahah mskaji akitaka azinduliwe nyumba yake fasta aseme hii nyumba ni sample tu ya kiwanda tutakachojenga hahah,hapo fasta tu.Hahahaha
Kuna rafiki yangu amasema akimaliza nyumba yake atajaribu kumualika eti