Myfancyface
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 948
- 900
Usije wewe ndio moyo wako ukamdondokea. Mchovya asali. Waweza sema unapita ukashangaa ndio Alaska yako!Sina uhakika sana ameolewa ila ana mbwembwe sana nataka nipite tuuu....
Usije wewe ndio moyo wako ukamdondokea. Mchovya asali. Waweza sema unapita ukashangaa ndio Alaska yako!Sina uhakika sana ameolewa ila ana mbwembwe sana nataka nipite tuuu....
Kama ni Arashuga anza safari ya mererani ukapige makofi usiku wake utalala kama umemeza piritonMnh! Kuna kaubaridi fulani huku niliko. Maji sishiki usiku wa manane huu.
Baba anataka kuonekana font fedi kila skuLazima hio mkuu,sasa bila hivyo utajuaje tuko kwenye 'light truck"
Nasubiri live nione itakuwaje.Nadhani. Zimebaki saa chache kupata laivu from Melerani.
Ndoa na iheshimiwe na watu wote!!!Nani huyo tukusaidie ku mng'oa kwenye ndoa



Hebu nione nikusaidia stratergiesSina uhakika sana ameolewa ila ana mbwembwe sana nataka nipite tuuu....

Hakuna namna!@Basi usimuelewe tena ila unatakiwa mchukie aliyemuoa sasa maana hakuna namna alichounganisha Mungu hakuna Bndam wa kukitenganisha.![]()
Kuna sku utashangaa atazndua ktu cha promosheni ya "Dunda Dunda" kwny mtandao wa Vodacom au Tigo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Halafu huyu mzee hakai ofisini, nje haendi kwa hiyo anabaki anazulula zulula tuu.
We Rais gani mara azindue mgari, mara azindue tawi la benki
Ana nchsha kweli mzee baba



Anaitwa (Mumu.)Baba anataka kuonekana font fedi kila sku
Akitoka hapo atakua pale uwanja wa sheikh Abeid akiangalia police wakifanya mazoezi yao.Baba anataka kuonekana font fedi kila sku
Sijui baadae watanzania tutapewa vitisho ganiNasubiri live nione itakuwaje.
MmmmmhNdoa na iheshimiwe na watu wote!!!![]()
Hahah aisee noma sanaKama ni Arashuga anza safari ya mererani ukapige makofi usiku wake utalala kama umemeza piriton
Kaka wanawake bhana huwa hawaridhikiHahah nahis mkuu,ila kuna mchiz kitaa alikuaga mtaalamu wa kupasua matofali ila akawa anagongewa mkewe na wahuni sijui shida ilikuwa ni nini
Tusubiri.Habahaha
Mi nahisi wanatutania
Rais hawez akawa ana shighuli za ajab ajab kama hizi za kuzindua ukuta
Sasa dawa ni nini mkuu?Kuwa waseja tu au?Kaka wanawake bhana huwa hawaridhiki
Aliye olewa na maskini ana cheat na mwenye pesa
Aliye olewa na mwenye pesa ana cheat na garden boy
Mi hadi leo sja fanikiwa kuwaelewa wanawake
Kukosa kazi ni kazi ndo maana kageuga mzinduzi wa zilipendwa,nahisi naye yuko macho si bado kumi na kenda
Braza hebu mtajeKulikuaga na manzi m1 hivi hapo zamani kidogo alikuaga nae bize sana na Iceman kwenye huu uzi sijui aliishia wapi
Mwanangu naona umeshajitayarisha kisaikolojia hahahSijui baadae watanzania tutapewa vitisho gani
Labda nguvu zote zilihamia mikononi na kuacha misuli mingine hoiHahah nahis mkuu,ila kuna mchiz kitaa alikuaga mtaalamu wa kupasua matofali ila akawa anagongewa mkewe na wahuni sijui shida ilikuwa ni nini





