Akili Pesa
JF-Expert Member
- Jun 18, 2014
- 617
- 854
Oooh tayar yupo kwny ratba Mzee baba front kama kawaHahahaha
Hivi mzee siras kabsaa atazindua ukuta?
![]()


Oooh tayar yupo kwny ratba Mzee baba front kama kawaHahahaha
Hivi mzee siras kabsaa atazindua ukuta?
![]()


Hahah aisee mkuu kama unajikazaga kulala muda wote huu kwenye ile kozi ya ukomandoo utakua umebakiza lile zoezi la kupigwa ubao mgongoni tu then ugraduate tu,hahah
HahahahahaMmmh au huu Uzi ulishawahi kukupa tamtam nn? maana sio kwa mawindo hya!!![]()
Cha mtu mavi mkuu! Usimuelewe sana.Aisee Kuna msichana huku JF namuelewa sema ameolewa.
YepKweliii?!
Sina uhakika sana ameolewa ila ana mbwembwe sana nataka nipite tuuu....Cha mtu mavi mkuu! Usimuelewe sana.
Nani huyo tukusaidie ku mng'oa kwenye ndoaAisee Kuna msichana huku JF namuelewa sema ameolewa.
Basi usimuelewe tena ila unatakiwa mchukie aliyemuoa sasa maana hakuna namna alichounganisha Mungu hakuna Bndam wa kukitenganisha.Aisee Kuna msichana huku JF namuelewa sema ameolewa.








Hahah nahis mkuu,ila kuna mchiz kitaa alikuaga mtaalamu wa kupasua matofali ila akawa anagongewa mkewe na wahuni sijui shida ilikuwa ni nini![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mimi hapa ni sawa na home kwa hiyo sina shda.
Hivi makomandoo wanakuwaga na kozi za za kuvunja matofali kama wale jama wa sherehe za uhuru?
Mnh! Kuna kaubaridi fulani huku niliko. Maji sishiki usiku wa manane huu.Tuko wengi,tuamke tu tudeki nyumba
HabahahaNadhani. Zimebaki saa chache kupata laivu from Melerani.
Lazima hio mkuu,sasa bila hivyo utajuaje tuko kwenye 'light truck"Hahahaha
Hivi mzee siras kabsaa atazindua ukuta?
![]()
Akizindua utasemaje Iceman?!Habahaha
Mi nahisi wanatutania
Rais hawez akawa ana shighuli za ajab ajab kama hizi za kuzindua ukuta
Sina uhakika sana ameolewa ila ana mbwembwe sana nataka nipite tuuu....




Mzee baba Una Sera za kibabe htariiii kama TrumpOooh tayar yupo kwny ratba Mzee baba front kama kawa![]()
Kukosa kazi ni kazi ndo maana kageuga mzinduzi wa zilipendwa,nahisi naye yuko macho si bado kumi na kendaHabahaha
Mi nahisi wanatutania
Rais hawez akawa ana shighuli za ajab ajab kama hizi za kuzindua ukuta
Kulikuaga na manzi m1 hivi hapo zamani kidogo alikuaga nae bize sana na Iceman kwenye huu uzi sijui aliishia wapiMmmh au huu Uzi ulishawahi kukupa tamtam nn? maana sio kwa mawindo hya!!![]()
Maji ni neno tata hasa nyakati za usku mkuu hebu fafanuaMnh! Kuna kaubaridi fulani huku niliko. Maji sishiki usiku wa manane huu.
Yaan mpaka hapa siamini nasubiri hiyo kesho nione kama ni kweliAkizindua utasemaje Iceman?!
