JamiiForums Usiku wa manane
Hahah aisee mkuu kama unajikazaga kulala muda wote huu kwenye ile kozi ya ukomandoo utakua umebakiza lile zoezi la kupigwa ubao mgongoni tu then ugraduate tu,hahah

Mimi hapa ni sawa na home kwa hiyo sina shda.

Hivi makomandoo wanakuwaga na kozi za za kuvunja matofali kama wale jama wa sherehe za uhuru?
 

Mimi hapa ni sawa na home kwa hiyo sina shda.

Hivi makomandoo wanakuwaga na kozi za za kuvunja matofali kama wale jama wa sherehe za uhuru?
Hahah nahis mkuu,ila kuna mchiz kitaa alikuaga mtaalamu wa kupasua matofali ila akawa anagongewa mkewe na wahuni sijui shida ilikuwa ni nini
 
Back
Top Bottom