mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 479
Nawe una kaugonjwa kalikonipata leo
HahahahhahaEeeeeh kazi imeanza sasa watu na lugha zao,yan ukiskia lugha za kukimbia kulipa bili ndio hzi![]()
Hahah nadhani utakuaga na allergy na usingiz bro.Hahahaha
Braza hii ni zamu yangu kuwa Rais wa wakeshaji![]()
Nimimaliza awamu yangu nadhani ntamkabidhi mwingine
Lala na weweKwa kweli. Hulali kabisa leo?!! Angalia saa. 02:49.
Wapige nao selfieeMazee kama ilivyokuwa uzinduzi wa bombardia mzee alisema watu wapande ndani ya ndege bure wapige picha.
Sijui kesho wkt wa kuzindua Ukuta Kule Mererani atawaambia wananchi wafanyeje?
Naota tu lkn wakuu
Picha itatoka vizuri kama watapanda ukuta mpyaMazee kama ilivyokuwa uzinduzi wa bombardia mzee alisema watu wapande ndani ya ndege bure wapige picha.
Sijui kesho wkt wa kuzindua Ukuta Kule Mererani atawaambia wananchi wafanyeje?
Naota tu lkn wakuu







HahahahaaHahah nadhani utakuaga na allergy na usingiz bro.
Umentisha nkajua hapa sasa ndio bas lugha gongana kumbe mzaramo mwenzanguHahahahhaha



Hahah aisee asije akasikia akatekeleza kweli kweli.Wapige nao selfiee
HahahahaMazee kama ilivyokuwa uzinduzi wa bombardia mzee alisema watu wapande ndani ya ndege bure wapige picha.
Sijui kesho wkt wa kuzindua Ukuta Kule Mererani atawaambia wananchi wafanyeje?
Naota tu lkn wakuu

Kweliii?!Hahahahaa
Hamna huu uzi naupenda tuu so hata kama nasinzia huwa najikaza
Mmmh au huu Uzi ulishawahi kukupa tamtam nn? maana sio kwa mawindo hya!!Hahahahaa
Hamna huu uzi naupenda tuu so hata kama nasinzia huwa najikaza





Hahah aisee mkuu kama unajikazaga kulala muda wote huu kwenye ile kozi ya ukomandoo utakua umebakiza lile zoezi la kupigwa ubao mgongoni tu then ugraduate tu,hahahHahahahaa
Hamna huu uzi naupenda tuu so hata kama nasinzia huwa najikaza
Tuko wengi,tuamke tu tudeki nyumbaI wish. Leo umegoma kabisaaa.
Hahah nimecheka sana aisee,hahahPicha itatoka vizuri kama watapanda ukuta mpya![]()
Nadhani. Zimebaki saa chache kupata laivu from Melerani.Hahahaha
Hivi mzee siras kabsaa atazindua ukuta?
![]()