JamiiForums Usiku wa manane
Mfupi

How? Sisi mipango yote nikesema, tuache utani nasema ukweli.
Hata yale ya kununua kiwanja ni kitandani. Hatjawaza kungonoka bhana acha hizo mkuu
[QUOTE="Samar

Wewe tu una wasiwasi. Tunatofautiana ujue. Kitandani kwangu mipango ya ghafla na ya muda mfupi isiyohitaji kupapatua na kutuliza akili ndio mahali pake. Ikifikia kwenye mambo makubwa setup inabadilika kabisa
 
Back
Top Bottom