JamiiForums Usiku wa manane
Mzee Baba swali lako hili lishanipa usingizi byebye
Hahahaaa hapana usisinzie mkuu tunatakiwa tukeshe kwa faida na mda huu ni wa wakubwa inatakiwa angalau tuwe tunabadilisha ideas hata za chombezo za mapenzi tukumbushane namna gani ya kuridhishana unapokuwa na mwenza ingependeza sana tukitumia kipindi hiki kuondoana tongotongo
 
Back
Top Bottom