JamiiForums Usiku wa manane
Samahani Sikujua kama upo serious
Iceman 3D na carbamazepine niliwambia muda fulani kuwa lilia uzuri sio bahati kwasababu:-

1.Mimi nilileta uzi wa kutafuta mwenza hapa lakini sikupata PM hata moja licha ya kuweka vigezo vya chini kabisa,kisa na mkasa nina sura ya babu yangu na umbo la mjomba wangu baunsa.

2. Nikiwa darasani nijitahidi sana kumtega mwl.wangu Nleterewa Nganengo lakini wapi...ndio kwanza hata kilinge kakikimbia kisa sina uzuri.

3. Nikaamua kumtega mwl.wangu Mwifwa kwa kila aina ya mitego lakini wapi, ndio kwanza anampaparikia mumu

4.Nikasema ngoja nijaribu bahati yangu kwa HB wa Kigogo, lol kaniacha mchana kweupe kaenda kwa Demiss

5. Nikahamia kwa dingimtoto ndo hata hakugeuka busy kumgombania Inna yeye na mjr95

6.Nikaona isiwe tabu Kichwa Kichafu atanifaa, thubutu hata jicho hakupepesa mbiombio kwa jje's

7.Nikajilengesha kwa Manga ML, duh kumbe hana habari na mimi yuko zake kwa Maserati anayemendewa na Spade 4 spade.

8. Nikasema ngoja nijichekeshe,chekeshe kwa Joseverest labda yeye atanielewa kumbe yuko kwenye list ya wanaomgombea Neybright kama mpira wa kona.

9. Nimejichetua kwa No Escape na ipogolo wapi?

10. Nikajipitisha pitisha kwa Samaritan,nikaona yeye kanielewa kanitumia mpaka muamala tobaaa alivyoiona tu sura yangu akasitisha muamala

Ndio maana nawaambia ndugu zangu kuwa lilia UZURI usililie BAHATI maana kama bahati ninayo sana tu ndio maana nashindaga tatu mzuka na biko ila mbona sigombaniwi na mimi kama mpira wa kona kama wenzangu?
 
Siku hiyo nakumbuka jua lilinitwanga baraaabara, nikanunua maji kiroho safi nikagawia watu pale ilikua mida ya saa tano jua linachoma utosini, bashasha hazikupungua usoni tukiamini safari ya matumaini inaanza..kama msimamo hautabadilika, kichinjio kitaendelea kutumika kwa matumizi mengine ya ID lakini sio shughuli zozote za NEC
hayo yashapita hebu someni namba tu
 
Iceman 3D na carbamazepine niliwambia muda fulani kuwa lilia uzuri sio bahati kwasababu:-

1.Mimi nilileta uzi wa kutafuta mwenza hapa lakini sikupata PM hata moja licha ya kuweka vigezo vya chini kabisa,kisa na mkasa nina sura ya babu yangu na umbo la mjomba wangu baunsa.

2. Nikiwa darasani nijitahidi sana kumtega mwl.wangu Nleterewa Nganengo lakini wapi...ndio kwanza hata kilinge kakikimbia kisa sina uzuri.

3. Nikaamua kumtega mwl.wangu Mwifwa kwa kila aina ya mitego lakini wapi, ndio kwanza anampaparikia mumu

4.Nikasema ngoja nijaribu bahati yangu kwa HB wa Kigogo, lol kaniacha mchana kweupe kaenda kwa Demiss

5. Nikahamia kwa dingimtoto ndo hata hakugeuka busy kumgombania Inna yeye na mjr95

6.Nikaona isiwe tabu Kichwa Kichafu atanifaa, thubutu hata jicho hakupepesa mbiombio kwa jje's

7.Nikajilengesha kwa Manga ML, duh kumbe hana habari na mimi yuko zake kwa Maserati anayemendewa na Spade 4 spade.

8. Nikasema ngoja nijichekeshe,chekeshe kwa Joseverest labda yeye atanielewa kumbe yuko kwenye list ya wanaomgombea Neybright kama mpira wa kona.

9. Nimejichetua kwa No Escape na ipogolo wapi?

10. Nikajipitisha pitisha kwa Samaritan,nikaona yeye kanielewa kanitumia mpaka muamala tobaaa alivyoiona tu sura yangu akasitisha muamala

Ndio maana nawaambia ndugu zangu kuwa lilia UZURI usililie BAHATI maana kama bahati ninayo sana tu ndio maana nashindaga tatu mzuka na biko ila mbona sigombaniwi na mimi kama mpira wa kona kama wenzangu?
Hii analysis huwa inaniozesha moyo, nitakuanzishia uzi.......
 
Iceman 3D na carbamazepine niliwambia muda fulani kuwa lilia uzuri sio bahati kwasababu:-

1.Mimi nilileta uzi wa kutafuta mwenza hapa lakini sikupata PM hata moja licha ya kuweka vigezo vya chini kabisa,kisa na mkasa nina sura ya babu yangu na umbo la mjomba wangu baunsa.

2. Nikiwa darasani nijitahidi sana kumtega mwl.wangu Nleterewa Nganengo lakini wapi...ndio kwanza hata kilinge kakikimbia kisa sina uzuri.

3. Nikaamua kumtega mwl.wangu Mwifwa kwa kila aina ya mitego lakini wapi, ndio kwanza anampaparikia mumu

4.Nikasema ngoja nijaribu bahati yangu kwa HB wa Kigogo, lol kaniacha mchana kweupe kaenda kwa Demiss

5. Nikahamia kwa dingimtoto ndo hata hakugeuka busy kumgombania Inna yeye na mjr95

6.Nikaona isiwe tabu Kichwa Kichafu atanifaa, thubutu hata jicho hakupepesa mbiombio kwa jje's

7.Nikajilengesha kwa Manga ML, duh kumbe hana habari na mimi yuko zake kwa Maserati anayemendewa na Spade 4 spade.

8. Nikasema ngoja nijichekeshe,chekeshe kwa Joseverest labda yeye atanielewa kumbe yuko kwenye list ya wanaomgombea Neybright kama mpira wa kona.

9. Nimejichetua kwa No Escape na ipogolo wapi?

10. Nikajipitisha pitisha kwa Samaritan,nikaona yeye kanielewa kanitumia mpaka muamala tobaaa alivyoiona tu sura yangu akasitisha muamala

Ndio maana nawaambia ndugu zangu kuwa lilia UZURI usililie BAHATI maana kama bahati ninayo sana tu ndio maana nashindaga tatu mzuka na biko ila mbona sigombaniwi na mimi kama mpira wa kona kama wenzangu?
Natangaza vita kwa atakae kugusa usalAma wako juu yangu bibie
 
Back
Top Bottom