Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Ili iweje? Nataka mhusika ndio ailipe mwenyewe na anipe fidis ya kunidhalilishaSawa naomba ulete hiyo bill hapa lindoni
Ili iweje? Nataka mhusika ndio ailipe mwenyewe na anipe fidis ya kunidhalilishaSawa naomba ulete hiyo bill hapa lindoni
Uje ofisiniMwl.maombi yangu vip? Mwisho nitaghairi sasa
Unatishia mtu mzima nyau Sasa jivuruge uoneNiko na sandarusi mpyaaa,jichanganye uone![]()
HahahahNilitumia lugha gongana kumradhi ni kagunia kausingizi naona kamejaa kichwani.
Kamanda lindo hadi mida ile utafika
Inaanza upya Ila Si LeoKwani ile kesi yetu imeishia,wapi?
Sawa ukilipwa unigawie na mimiIli iweje? Nataka mhusika ndio ailipe mwenyewe na anipe fidis ya kunidhalilisha
Hili jamvi limepigwa spray ya kusinzia nini
Bado mapema mkuuAaah! Mzee mbona bado upo
Huendi kulala?
Na wewe upende zaidi tuone nani atakuwa mshindiNaon usingizi unatak unipende zaidi
Daaah!Kalale tu
Naomba uwe mzee wa baraza kwenye kesi yangu dhidi ya SamaritanHaha me sio mzoefu lakini ...... Unajua kuna watu wakienda ugenin wakiulizwa unataka chai au soda kun wengin hua waatasema nipe soda akati chai inaiva
Sasa kuparamia kweny nyuzi zenye wenyej na wazoefu co poa
Wakili mvaa koti letuWakili anayevaa suruali ya pinki,shati ya kaniki,kiremba kichwani,miwani myeusi na kichwani nywwle za kijani kama uwanja wa taifa
Wakiliiiii

Naona wewe pia unaitwaAnaondoka na wawili
Mkewe(baby yake)na mumu![]()

Kumbe ni kawaida watu kupotezana humu eeh??