JamiiForums Usiku wa manane
Jambo gani?
Hiyo presha tutamnyang'anya hatokuua
Majuzi kati alinitumia vijisenti kwa njia ya simu, kabla hata sijavitoa akawapigia simu mawakala kusitisha muamala wakati mimi nilikuwa nimeshakula chakula nikijua nina hela kwenye simu, timbwili lililonikuta baada ya kukosa hela ya kulipia chakula almanusura linitoe roho.

Na mpaka sasa ninadaiwa sh.500000 za chakula tu bado gharama zingine zilizojitokeza ambazo ni sh.2,000,000 hapa nilipo jumla amenisababishia deni la sh.2,500,000
Hebu elezea vizuri kwanini unamshitaki na unamshitaki kwa kosa lipi tafadhali.
 
Back
Top Bottom