JamiiForums Usiku wa manane
Nisamehe wangu, nimetambua kosa langu

Na wewe Ney sio sie tunakausha makoo hapa na kukomaa vidole alafu kesho na keshokutwa tena ulete huu upupu. Tutakusweka ndani bila dhamana. Hapa naongea tu ila kwa wanaume inatuumiza sana hii kitu. Katika watu wooooote, ukaona umuite Jose Baby, seriously? Binadamu tunakosea jitahidi hili kosa lisijirudie.
 
Skiliza Ney nakupenda kuliko mtu yyte duniani ( yeah may be my mom, atakuzid kiaina).

Dont ever do that again, nimekusamehe
Tupumzike kwa amani basi.
Yameisha
Safi kabisa
"Being a Gentleman"
FB_IMG_1519471167268.jpg
 
Skiliza Ney nakupenda kuliko mtu yyte duniani ( yeah may be my mom, atakuzid kiaina).

Dont ever do that again, nimekusamehe
Tupumzike kwa amani basi.
Yameisha
I have nothing to say baby,
Najiskia kulia kwa furaha.
Mungu akubariki iceman wangu, nakupenda sana mpenzi wangu.
Ulale salama. Na ugua pole pia, ntakuja kukuona asubuhi.
Usiku mwema.
 
Na wewe Ney sio sie tunakausha makoo hapa na kukomaa vidole alafu kesho na keshokutwa tena ulete huu upupu. Tutakusweka ndani bila dhamana. Hapa naongea tu ila kwa wanaume inatuumiza sana hii kitu. Katika watu wooooote, ukaona umuite Jose Baby, seriously? Binadamu tunakosea jitahidi hili kosa lisijirudie.
Asanteh kakaangu, sitarudia tena.
 
I have nothing to say baby,
Najiskia kulia kwa furaha.
Mungu akubariki iceman wangu, nakupenda sana mpenzi wangu.
Ulale salama. Na ugua pole pia, ntakuja kukuona asubuhi.
Usiku mwema.


Enenda usitende dhambi tena, uweke na signature cc Iceman 3D kwenye kila post ili kila mtu ajue kabisaaaa you belong to Ice.
 
Back
Top Bottom