JamiiForums Usiku wa manane
Safi braza sasa nliondoka muda mrefu mpaka app ina nishinda ndio najifunza hapa kutumia
Basi shemeji maserati ntamwona kesho
Pole sana utarudi katika ubora wako tukiendelea kuwepo.

Huyo usimuiye shemeji ha ha haaa muiye mama chanja tu kwa maana huniita baba chanja
 
Usinikumbushe machungu ya kummiss rafiki yangu kipenzi.....
Ni mtu pekee katika hii dunia aliyenitakia 'happy valentine' namtafuta sana nimshukuru kwa hilo

Hata mimi nilikutakia rafiki, au kwa vile niliitoa kwa wana JF wote? Nilijua ingekuja kwako peke yako ingesababisha conflict of interest
 
Usinikumbushe machungu ya kummiss rafiki yangu kipenzi.....
Ni mtu pekee katika hii dunia aliyenitakia 'happy valentine' namtafuta sana nimshukuru kwa hilo
Hafu wewe kazi kututia ubaya tu na tukiomba nafasi ya kukutakia mazuri unajifanya husikii sawa lakini natumai Ney atakuja si masiku mengi amini hivyo
 
Umeona eeeh!
Ila ubaya wa hayo maimivu ni kwamba,watu wengine unawaona kama hawakuumizwa kama ulivyoumizwa wewe
Ndio kuumizwa huko halaf ukiwaelezea watu una ona kama hawachukulii siriaz maumivu yako
 
Back
Top Bottom