Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,105
AaahKila mmoja anaenda kwake
Sio kwa kuaga kwa pamoja hivo
AaahKila mmoja anaenda kwake
Hahaha umetisha
Kaka mimi huwa naumia, huwa najitahid nsiumie ila wap. Sema najitahid ku recover mapema tuu.
Daaah! Mmetisha wakuuSi kulala mkubwa? Twende wapi tena saa hizi Kaptein
Unasemaje!? Sikuwepo ila you know me? How comes?Kipindi naondoka Thad hakuwepo humu, but i knew her
Aisee kwa hiyo pande hizi ndo hakwepo tu basi sawa.Tulikuwa tunafahamina bhana, nikaanza kujisogeza nikapigwa bonge ya friendzone
Ndio nikapoa tu.
Safi braza sasa nliondoka muda mrefu mpaka app ina nishinda ndio najifunza hapa kutumiaAkiwepo itakua poa mana utamjua tu
Aaah
Sio kwa kuaga kwa pamoja hivo
Aaah
Sio kwa kuaga kwa pamoja hivo
wala hakuna matata ndugu yanguUmenitumia ndogo hivyo? Nazirudisha ili utume mara 4 yake![]()
![]()
![]()
Kumove on huwa si kurahisi sana, kwa sisi ambao tulishayapitia tunabaki kumwonea huruma sana
Usinikumbushe machungu ya kummiss rafiki yangu kipenzi.....![]()
![]()
![]()
Hivi ushamuona @Neybrighte hivi karibuni?
Sio kwamba siumii mkubwa, orodha yangu ndogo sana. Sina majuto mengi
Unasemaje!? Sikuwepo ila you know me? How comes?
MmhUnasemaje!? Sikuwepo ila you know me? How comes?
Umeona eeeh!![]()
![]()
![]()
![]()
Ukute mwenye ndio anajiona kama mtu wa kwanza kuumizwa duniani, akat mahiran mmchill tu na msha yapitia kimya kimya
![]()
![]()
![]()
Wajukuu si wengi.
Mi mwenyewe orodha ni chache mnoo lakini wite impact yao ilikuwa ni kubwa kdogo