Braza hilo salio kama silioni likiwa kwako5BQ1875MRS2 Imethibitisha. Tsh250,000.00 zimetumwa kwa 0123-456 789 tarehe 08/3/18 saa 2:35 AM. Salio lako la M-Pesa ni Tsh2,452,013.00.

Hahaha sanaritan uba uzoefu wa kuwa broken hearted! Ubaginga za kina soledad, goodbye, i will akways love you te a waswahil walivo wata kusifia kuwa unapiga nyimbo za taratib akat wewe unaugulia hapo
jamani ila mficha maradhi kifo humuumbua, bora apige za kiswahili ili majirani zake tuelewe situation aliyonayo tuwe tunamfariji kwa namna moja ama nyingineHahaha sanaritan uba uzoefu wa kuwa broken hearted! Ubaginga za kina soledad, goodbye, i will akways love you te a waswahil walivo wata kusifia kuwa unapiga nyimbo za taratib akat wewe unaugulia hapo
Ndo kinacho nishangaza hakwepo ila naona kama mnajuanaKipindi naondoka Thad hakuwepo humu, but i knew her
![]()
![]()
![]()
jamani ila mficha maradhi kifo humuumbua, bora apige za kiswahili ili majirani zake tuelewe situation aliyonayo tuwe tunamfariji kwa namna moja ama nyingine
Mnaenda wap?
Ewaaa!Ala kumbe! Nilikuwa sijui....
Ndio maana mmefanana kila kitu![]()
![]()
![]()
Nilifanyaje na sikuwepo hizo siku au ndo mkosi wangu una e ndelea?Nakulipizia ulichonifanyia juzi na jana
Umenitumia ndogo hivyo? Nazirudisha ili utume mara 4 yake5BQ1875MRS2 Imethibitisha. Tsh250,000.00 zimetumwa kwa 0123-456 789 tarehe 08/3/18 saa 2:35 AM. Salio lako la M-Pesa ni Tsh2,452,013.00.

Hahaha umetishaNamshukuru Mungu hii tasnia niliianza ukubwani mkuu. Sikubahatika kuumizwa zaidi ya ile kukaribishwa, baada ya hapo nikasimama fasta kama mtoto wa nyumbu. Nipobimara sana hadi leo, siruhusu kabisa kuumizwa. Of course sioendi kuumiza mtu pia.
Kumove on huwa si kurahisi sana, kwa sisi ambao tulishayapitia tunabaki kumwonea huruma sana![]()
Ndio moja ya kumpa pole jirani mwambie unakuwa una enjoy kama hivo. A move on.
Basi na mini majirani walikuwa wanepumzika kipindi sko jf, nadhani leo watakuwa ana sema uchizi usha mrudia Ice. Teh teh
Braza hilo salio kama silioni likiwa kwako![]()
Kila mmoja anaenda kwakeMnaenda wap?
Tulikuwa tunafahamina bhana, nikaanza kujisogeza nikapigwa bonge ya friendzoneNdo kinacho nishangaza hakwepo ila naona kama mnajuana