The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,060
Rolling
Nyie mnaibuka saa hizi kama nyambizi za kivita, kuna kulala kweli?
Rolling
Umechelewa best....Nakusalimia
Nia yangu ilikua nipite kimya nimestushwa na uwepo wakoAnko ankoooo! Ninefurahi sana kukuona mkubwa
Daaah! Kaka nilitekwa na watu wasio julikana.Niko poa sana umeniachia mzigo wa lawama tu kwanini umetuacha solemna kiasi hiki?
AahBasi kila ukipigwa nachekaga peke yangu....pole yako nitamfikishia sijui haitaniletea kizaazaa maana inaonekana ana machungu moyoni
Usitake kunikimbia hapaUmechelewa best....
Ulikuwa wapi?
Hahaha
Yasha mkuta huyo, ujue kuna nyimbo ukizipiga zina kuwa zina kuhusu kabsa.
Kampe pole yake kabsaa
Pole sana hawa watu ni hayari sana ila tunashukulu kama wamekuacha salama aseeDaaah! Kaka nilitekwa na watu wasio julikana.
Lakin back again! Nadhani na wewe ulikuwa una nilindia Ney wangu
Nakuahidi kuwa nitalala tena usingizi mwololo nikutajie basi namba yangu ufanye huo muamala 0123-456 789Nilitaka niombe namba ya Mpesa nifanye muamala naona hautalala, kama hizo tu unatabasamu usiku wote?
Hahaha sanaritan uba uzoefu wa kuwa broken hearted! Ubaginga za kina soledad, goodbye, i will akways love you te a waswahil walivo wata kusifia kuwa unapiga nyimbo za taratib akat wewe unaugulia hapoMwambie Thad amsihi jirani yake apige nyimbo za kiingereza tupu, lakini kama kila siku anapiga sijui siri ya ndani moyo wangu...majirani watajiongeza tu. Lakini akigonga its not easy watu hawana habari.
My God!Pole sana hawa watu ni hayari sana ila tunashukulu kama wamekuacha salama asee
Nimelinda mpaka nimekua adii sasa mana nakosa jibu nikiulizwa nimesikitika sana asee
Bwana ujue ni usiku, punguza kunichekesha jirani yangu nitamwamsha anikasirikie kabla ya kumpa pole yako....Aah
Huyo sasa unampa pole ukiwa mbali kdgo, asje aka fanya mansloughter bure! Watu wenye hisia kama hao si wazuri.
Teh teh
Hawa tuwaachie lindo tuondoke zetuNyie mnaibuka saa hizi kama nyambizi za kivita, kuna kulala kweli?
Nakulipizia ulichonifanyia juzi na janaUsitake kunikimbia hapa
Nakuahidi kuwa nitalala tena usingizi mwololo nikutajie basi namba yangu ufanye huo muamala 0123-456 789
Bwana ujue ni usiku, punguza kunichekesha jirani yangu nitamwamsha anikasirikie kabla ya kumpa pole yako....
Mnaenda wap?Hawa tuwaachie lindo tuondoke zetu
Yani nyie, mnanichekesha sana mjue.Mwambie Thad amsihi jirani yake apige nyimbo za kiingereza tupu, lakini kama kila siku anapiga sijui siri ya ndani moyo wangu...majirani watajiongeza tu. Lakini akigonga its not easy watu hawana habari.