Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Afadhali mkuu, usituletee mambo ya sholo mwamba sijui msaga sumu?
kwahiyo ni bora alete mambo ya Asley kwamba amekubali kumwita shemejiAfadhali mkuu, usituletee mambo ya sholo mwamba sijui msaga sumu?
kwahiyo ni bora alete mambo ya Asley kwamba amekubali kumwita shemejiHapana mimi napenda ukweli, hata wewe Thad nnacho kupendea sku zote ni mkweliAsante kwa ushauri wako rafiki, mtu mwenyewe anaonekana anampenda kuliko anavyoipenda nafsi yake...
Ameshatengua kauli![]()
![]()
kwahiyo ni bora alete mambo ya Asley kwamba amekubali kumwita shemeji
Aaah teh tehNilijua tu hauwezi kuniangusha mkuu..ustaarab umetamalaki
Aisee umerudi kiongozi?Hahahaha
Si mbaya nimesha tambulishwa huyu ashakuwa ndugu yangu.
Mi kama eskide ushemeji upo
Lakini it wasnt that deep kama Aslay alivo lalamika teh teh![]()
![]()
kwahiyo ni bora alete mambo ya Asley kwamba amekubali kumwita shemeji
Aisee umerudi kiongozi?
Karibu sana
Nashukur kwa kumpa kampan wajat sipo ndugu yangu ndio undugu wenyewe huo.
Usku mwemaNawaachia lindo popo na bundi wote
Umenichekesha, maana kuna jirani yangu kila siku anaupiga huo wimbo sijui yamemkuta yepiLakini it wasnt that deep kama Aslay alivo lalamika teh teh
Woyooooo! Sir Manga MLAisee umerudi kiongozi?
Karibu sana
Mmmh! Huo mbona kama umezidi hata ule wa kwenye vitabu vya Mungu kuwa mpende....kama nafsi yako sio zaidi ya nafsi yakoSasa ukisikia upendo ndio huo
HahahaUmenichekesha, maana kuna jirani yangu kila siku anaupiga huo wimbo sijui yamemkuta yepi
Nawaachia lindo popo na bundi wote
NakusalimiaNaona mwaitana kwenda kulala....
Haya bwana
Niko poa sana umeniachia mzigo wa lawama tu kwanini umetuacha solemna kiasi hiki?Woyooooo! Sir Manga ML
Am back, nili wamiss ndugu zangu.
Asee uko poa lakin?
Basi kila ukipigwa nachekaga peke yangu....pole yako nitamfikishia sijui haitaniletea kizaazaa maana inaonekana ana machungu moyoniHahaha
Yasha mkuta huyo, ujue kuna nyimbo ukizipiga zina kuwa zina kuhusu kabsa.
Kampe pole yake kabsaa