Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,777
kwema boss...Kwema?
naona kumekucha
kwema boss...Kwema?
Vijana hamfainyie maana hauchelewi kunigombanisha na GuDume tehteehh...
tehteehh.....Ha ha ha.... Nashukuru kwa kupenda tuendelee kuheshimiana maana kwa wanaonijua wanasema kipigo nachotoa victim huwa anakuwa kama amedondokewa na bomb la Nyuklia lenye uzito wa tani 1000
Na hutokosa usingizi maana utalala milele.
Gudume na me nasubir jibu tafadhari!tehteehh.....![]()
![]()
![]()
Umetisha sana GuDume
Lakini vipi yule uliempa siku kadhaa akutafute ili myamalize kuhusu ile story yenye alikupora??!!
Muda wa nini?Muda bado
Muda wa usiku wa mananeMuda wa nini?
Umemaliza maandalizi tuje?Naanza maandaliz ya kupukuta viti
Sawa, muda ukifika unitagMuda wa usiku wa manane