JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

7ab211f71115d70dbe6ffa390b8f4354.jpg

Hii zawad nataka tugawane na Mumu
Mkuu...
Ona sasa umesababisha mnara umeanza kusoma 4G....[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Ebu ngoja ni [emoji125] [emoji125]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] unaogopa kuchonganishwa au unaogopwa kuanikwa hapa kesho maana Demiss sio wa sport sport etii!
Kama alivyo mfanyia yule baba mwalimu wa chuo flani.....[emoji13] [emoji13]
Hahahahaha.... huyu bidada nilimchoka wallah
 
Mkuu....
Ebu ukuje kule PM inielekeze mitaa yake huku Ushirombo...[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Maana naweza nikaota embe chini ya mchenza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] panda bodaboda mpaka Kagongwa,shukia hapo Nyakanazi kisha kata kushoto kuelekea Kinguryiabashashi utakuwa umefika!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] panda bodaboda mpaka Kagongwa,shukia hapo Nyakanazi kisha kata kushoto kuelekea Kinguryiabashashi utakuwa umefika!
tehteehh......[emoji12] [emoji12]
Asante kwa msaada wako mkuu, kesho tu nakuletea majibu hapa
 
Back
Top Bottom