JamiiForums Usiku wa manane
Jamani njaa imenizidia,wacha nikubali kuwa leo ndio nimeshakosa riziki hivyo, wacha niendelee kuhesabu fito za paa la banda nililolalia yamkini Mola atanipa kula kukicha.

dingi mtoto na HB wa kigogo poleni sana. Mungu awarejeshee afya zenu tena. Nawapenda,nawamiss sana.
Naona msosi wangu umeususa, sawa tu...
 
Jamani njaa imenizidia,wacha nikubali kuwa leo ndio nimeshakosa riziki hivyo, wacha niendelee kuhesabu fito za paa la banda nililolalia yamkini Mola atanipa kula kukicha.

dingi mtoto na HB wa kigogo poleni sana. Mungu awarejeshee afya zenu tena. Nawapenda,nawamiss sana.
Asante kwa kujali. Kwema?
 
Jamani njaa imenizidia,wacha nikubali kuwa leo ndio nimeshakosa riziki hivyo, wacha niendelee kuhesabu fito za paa la banda nililolalia yamkini Mola atanipa kula kukicha.

dingi mtoto na HB wa kigogo poleni sana. Mungu awarejeshee afya zenu tena. Nawapenda,nawamiss sana.
Ulikuwa wap kipindi wenzio wanakula
 
Back
Top Bottom