JamiiForums Usiku wa manane
Nzuri ,usiombe mchana Jr akuwangie usiku uanze kuota ndoto za ajabu ajabu ukose usingizi haha
Hahaaaaa. Hao hawawezi nipata aisee sababu kabla ya kulala ni lazima nisome Dua kwa imani ninayoiamini hivyo nadhani hiyo ni sababu hawanipatagi hao yaani nikilala nimelala.

Ila nimecheka duuh. Ndio sababu nyie hamlali au kuna sababu nyingine?
 
Back
Top Bottom