Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,194
- 27,089
Alisema kuna mtu kampenda tunamwambia kila siku aseme ni nani tumsaidie hatakicc bundi Inna
Alisema kuna mtu kampenda tunamwambia kila siku aseme ni nani tumsaidie hatakicc bundi Inna
Ndo nyongo mkalia ini wangu huyo mama. Inna mke mwenzangu huyo sema sina imani nae sana anaweza akanipindua akabaki mwenyewe.Kumbe huyo ndo usingizi wako mamy? Basi usihofu nitahakikisha anarejea kwako salama. Ila shoga yako Inna mwangalie kwa jicho la nne(sina uhakika nimejiongelesha tu)
![]()
![]()
![]()
Inna plz mwambie,mwl.wangu masahibu niliyo nayoSina taarifa hizo
Usikaite kale kazee kakija hapa sie viben 11 tunakosa rahaUnaweza ukamchukia wote wote wewe.
Kwanza mume mkubwa @@Saint Ivuga yuko wapi?
Yupo mhendisome mmoja matata sana hapa, huyo ndo ananinyima usingizi...Hahaha sema tu unamtaka nani my dear
NaniiiiiYupo mhendisome mmoja matata sana hapa, huyo ndo ananinyima usingizi...
Sili silali kwa ajili yake
Jaman asante kwa kunijali mimi had nilikuotaNilikua na mashaka hofu nyingi ila upo hapa leo vimeondoka vyotee..nmekumithiiii tu
Mbona hujamwambia kuwa natafuta ushauri wa jinsi ya kumseduce huyo nimpendaeAlisema kuna mtu kampenda tunamwambia kila siku aseme ni nani tumsaidie hataki

Naniluuuu....Naniiiii
Yupo mhendisome mmoja matata sana hapa, huyo ndo ananinyima usingizi...
Sili silali kwa ajili yake

Karibu kipenzi tuko woteJaman asante kwa kunijali mimi had nilikuota
Huenda mimi hapa maana.....Alisema kuna mtu kampenda tunamwambia kila siku aseme ni nani tumsaidie hataki
Shem wang wanguvu salam hukoNawasalimu wote
Napita tu
Sema tusaidiane kumtafuta.Naniluuuu....