mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,093
- 4,912
Hodiii
Asante kwa ndoa ya mkeka nasubir bwana harusi aseme yes or noHaya haya amkeni kumekucha...
Mwifwa na Nleterewa nawasubiri darasani hapa.
Kichwa Kichafu na jje's basi inatosha mtaendelea baadae
Neybright na Inna, mwanichanganya sasa sijui nani wakumuita shemeji na nani wa kumuacha.
dingimtoto na mjr95 mtauana bure Inna ana wake nyumbani.
HB wa kigogo na Demiss natamani siku moja niwaone mkiwa na ukaribu zaidi!
Jamani msione kimya, maisha yamenifunga mdomo!
Niko Oky leopole sana,utapona ndugu.
Mpwa kwema komredPopozzz
Mida ya kijiweniMida ya kazi....
Ha ha ha wazee wa night kaliMida ya kijiweni
Yaah mkuu mida ya watoro ucngiz hatunaHa ha ha wazee wa night kali
Salaaam bundisalamu kwa mabundi wote humu!
Zimefikasalamu kwa mabundi wote humu!
Zimefika
naona mabundi wachache leo vipi?Salaaam bundi
Bado mapema watakujanaona mabundi wachache leo vipi?
au wengine roll call hawajaiskia?
Huku kwema ni paka na majibwa tuu yanaimba mapambio nowKwema mkuu.
Habari za pande hizo
Wanabembeleza mama yoyonaona mabundi wachache leo vipi?
au wengine roll call hawajaiskia?