Jaji Francis Mutungi atangaza kuzuia Mikutano na Makongamano ya Vyama vya Siasa kwa muda kutafuta suluhu

Kwani katiba inasema Polisi ndio wanatoa ruhusa watu kujadili mambo yao ya kitaifa??

ccm wamefika mwisho sasa🤣🤣
 
As long as Mutungi haja cite sheria yoyote inayokataza mikutano na makongamano, status quo inasimama.

So.... vyama viendelee na shughuli zao kama kawaida hadi pale sheria ya kuzuia mikutano na makongamano itakapokuwa enacted.

Nakaribisha maswali kama yapo!
 
Mbona ukimwi upo hamjasimamisha kukimbiza mwenge
Unaweza kufananisha effects za COVID na UKIMWI in short term basis? UKIMWI umeshawahi kusababisha mipaka ya nchi zote duniani kufungwa? Acha hizo mkuu! Hii COVID inatesa watu, imeharibu uchumi!! Unajua ni watu wangapi wamefungiwa katika nchi siyo zao hapa duniani since February mwaka jana?
 
Ila tunaishukuru Corona kutuondolea dhalim mwendazake
Ndiomaana sasahivi mnapumua,
Kodi mmeshushiwa,
Magaidi wamekamatwa,
Democrasia kila kona,

Mataga na sukuma gang wanakiona cha moto.

Kumbe yule dahalimu akikuwa analea hadi magaidi
 
Huu unaitwa 'mchanganyiko maalumu' au 'anything can go'. Hata mimi niko interested kujua ni kifungu au vifungu gani vya sheria vinampa hayo mamlaka na anaweza kufanya hivyo kwa miezi au miaka mingapi ndipo aruhusu tena! Haya mambo tukiyaacha tu yaende kwa namna hii tutajikuta sheria zetu hazina maana tena.
 
Tulipofika ni pabaya zaidi kuliko wakati wowote. Anatafuta suluhu gani, na nani juu ya uvunjaji wa katiba aliyoshindwa kabisa kuuzuia?
 
Baada ya kuzuia hiyo mikutano na makongamano tuitafute Suluhu mpaka 2025 naamini itakuwa haijapatikana 🤣🤸🐒
 
I met him in person alipokuwa administrator wa mahakama pale kwenye ofisi zao karibu na Kempinsky. I saw a gentleman. Ila alipokwenda huko kwenye usajili, niliona mtu tofauti kabisa
wakiendaga huko ubongo huwa wanamkabidhi mwenyekiti wa chama cha kijani afu wao wanabaki vichwa-nazi.
 
 
Huyo ni mhuni mwingine anayetumika na hii Serikali haramu kuminya haki za Watanzania na vyama vya siasa nchini.
 
Kudai katiba mpya kuna zuia vp maendeleo Mwrhu wewe? Kila mtu anajua jukumu lake. Mkulima anaendelea na kulima. Mfanya biashara anaendelea na biashara zake, hali kadhali mfanyakazi.
Waachwe wanasiasa nao wafanye majukumu yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…