Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,308
- 4,294
We umeshaharibiwa, huko nyuma hukua hivyo.Kwisha habari yako !
We umeshaharibiwa, huko nyuma hukua hivyo.Kwisha habari yako !
Anatangaza kama Msajili, au KWa katiba hipi? mh Jaji mtungi akafute vyama vya kisiasa, ujinga tu , yeye ni nani FANYA kile anakifanya ,hata mwendazake hakufanya hivi pamoja na udikiteta uchwara ,je Hawa wataweza?????????Msajili wa milele wa vyama vya siasa Tanzania,
Francis Mutungi amekubali kutumika hadharani na CCM baada ya kutoa Tangazo la kukataza makongamano ya vyama vya siasa , kwa maelezo kwamba wanasiasa wasubiri kwanza kikao na IGP katika tarehe isiyojulikana.
Kwa wasiojua katiba ya nchi, Francis Mutungi kama mtu binafsi au kama Msajili wa vyama vya siasa HANA, HAJAWAHI KUWA NA HATOKUJA KUWA NA MAMLAKA YA KUZUIA MIKUTANO YA KISIASA WALA MAKONGAMANO, hili si jukumu lake
----
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi, amevitaka vyama vya siasa nchini kusimamisha makongamano na mikutano ya kisiasa kwa muda ili kupisha mazungumzo baina ya vyama vya Siasa, Polisi na Ofisi ya Msajili ili kutafuta suluhu ya mikutano na makongamano.
Jaji Mutungi ameyasema hayo leo Jijini Dar es Salaam na kwamba katika kipindi hiki cha kuelekea mazungumzo hayo ni vyema vyama vikasitisha makongamano na mikutano ya kisiasa mpaka hapo mazungumzo yatakapo fanyika ili kuondoa sintofahamu iliyoibuka baada ya polisi kudaiwa kuingilia mikutano ya kisiasa.
Hatua hiyo imekuja baada ya siku za hivi karibuni Chama cha NCCR- Mageuzi kilinukuliwa kikilalamikia kuzuiwa na Jeshi la Polisi kufanya mkutano wa Kamati Kuu katika eneo la Msimbazi baada ya Polisi hao kuvamia mkutano huo.
PIA SOMA
1. Polisi wasambaratisha kikao cha Kamati Kuu ya NCCR-Mageuzi
2. ACT Wazalendo: Tunalaani vikali kitendo cha Jeshi la Polisi kuvamia na kuzuia Kikao cha Kamati Kuu ya NCCR Mageuzi
3. Kyela: Polisi wazuia kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa Chadema
4. Musoma: Polisi Wazingira ofisi ya CHADEMA kulikopangwa kufanyika kongamano la Katiba Mpya
Matusi na uchawi ndio silaha pekee ya masikiniWe umeshaharibiwa, huko nyuma hukua hivyo.
Achana na huo msukule. Kuandika matusi Ni ushahidi kwamba muandishi Ni mtu 'uncouth' tafsiri rahisi Ni chokoraa ambaye hakulelewa na responsible parents.Kwisha habari yako !
Hii ni kweli?Msajili ameongeza kuwa agizo hilo halikihusu chama cha mapinduzi
Ni bora aje Hamza mwingine atusaidie kuliondoa hili dudu. Kilangila.Hawa ndio wa kula nao sahani moja,hawa ndio wanaotekeleza maagizo kutoka juu,hawa ndio vitimbakwiri wanaoivuruga Tanzania.
Je, ni kweli wanapata maelezo kutoka juu au ni wale wanaojipitisha na kujipendekeza ,
Je ametumia kifungu gani cha sheria kutoa mapendekezo hayo ?Msajili wa milele wa vyama vya siasa Tanzania,
Francis Mutungi amekubali kutumika hadharani na CCM baada ya kutoa Tangazo la kukataza makongamano ya vyama vya siasa , kwa maelezo kwamba wanasiasa wasubiri kwanza kikao na IGP katika tarehe isiyojulikana
Umeishia darasa la pili au la saba kama babu tale?Tunajenga uchumi kwanza kwa sasa, kipindi hiki kigumu ambapo uchumi wa dunia nzima umeshuka! Hivi saa hizi uene nchi kama India au USA uwaambie kipaumbele chako ni katiba mpya si watakuona chizi!!
Dunia nzima inahangaika inajikomboa vipi na hili janga nyie mnataka kipaumbele cha taifa kiwe katiba mpya! Kila jambo litafanyika, ila kwa wakati muafaka, muwe mnajua kusoma alama za nyakati na kubadilika
Haikusemwa,lkn iko hivyo kiutendajiHii ni kweli?
Amandla...
Ni kwa chama kimoja tu.Hilo katazo ni kwa chama kimoja au vyote?
Kuna magaidi - moja lipo mahabusu indefinitely!Suluhu kwani Kuna vita au waasi?
Nchi vipi hii?
Japo pengine pia unaweza usijue jinsi ambavyo katiba mbovu au isiyofuatwa inavyoweza kudidimiza uchumi na maendeo ya nchi.Tunajenga uchumi kwanza kwa sasa, kipindi hiki kigumu ambapo uchumi wa dunia nzima umeshuka! Hivi saa hizi uene nchi kama India au USA uwaambie kipaumbele chako ni katiba mpya si watakuona chizi!...
Mbona mother aliongea vizuri sana, alisema katiba ni muhimu ila kwa sasa siyo wakati muafaka wa kuanzisha mavuguvugu ya malumbano, tusubiri!! Sasa hapo alikosea kitu gani? Wananchi tukamwelewa, ila wanasiasa ambao wanataka kutumia kivuli cha katiba kushibisha matumbo yao wakaanza "chokochoko", sasa "wamechokonolewa" hawana hata pa kukimbilia.Japo pengine pia unaweza usijue jinsi ambavyo katiba mbovu au isiyofuatwa inavyoweza kudidimiza uchumi na maendeo ya nchi.