Kwani katiba inasema Polisi ndio wanatoa ruhusa watu kujadili mambo yao ya kitaifa??Chama kongwe dola cha CCM inahusika pia na katazo hili la msajili wa vyama vingi? Kwa maana CCM nacho kisitishe shughuli za kisiasa mpaka jeshi la polisi litoe tamko.
Je ni rasmi jeshi la usalama kwa maana ya Polisi sasa limechukua hatamu, na kusitisha (suspend) katiba ya nchi inayohusu siasa mpaka litakapotoa mwongozo?
Je nchi ya Tanzania sasa inatawaliwa kijeshi na siyo kwa kufuata katiba na sheria zilizotungwa na kupitishwa na Bunge?
ccm wamefika mwisho sasa🤣🤣