Introducing teamrafiki

Introducing teamrafiki

special for you rafiki
images

Thank you so much rafiki... Miss uuu!!!!!!!
 
na isitoshe kila kona yako niko
hata hapo ulikokaa mm niko nyuma yako

nimekuuliza swali.. usiongee vitu kwa kusikia.. sawa?

we si umenifaham juzi tu? sasa experience yangu umeijulia wapi?
 
Siku za mwisho kwa kweli tuangalie
tusijee teketea kwenda motoni x2

Duniani kuna dhiki kuu wateule jipeni
moyo kwani mmeushinda ulimwengux2

Na wewendugu usirudi nyuma songa mbele
usilegelege wala kuwasikliliza wana jf?
aisee...! mwishowe utasema upo mpaka kwenye nanii! lol!

siku ya mwisho tutasikia mengi!
 
Siku za mwisho kwa kweli tuangalie
tusijee teketea kwenda motoni x2

Duniani kuna dhiki kuu wateule jipeni
moyo kwani mmeushinda ulimwengux2

Na wewendugu usirudi nyuma songa mbele
usilegelege wala kuwasikliliza wana jf?

hivi inakuwaje mpaka mwanamke unakuwa na roho ya aina hii?
loo! we unaweza kabisa kunilisha acid nikiingia kundini!!
aisee kwaheri!
 
Back
Top Bottom