Introducing teamrafiki

Introducing teamrafiki

Kuna kitu kilikuwa kinaitwa #teambazazi , na hivi sasa mmeanzisha #teamrafiki , swali hili kundi jipya limeanza kutokana na uwepo wa kwaresma?

Maana katika vipindi kama hv baadhi ya mambo yanapungua mtaani na kipindi kikiisha mambo yanaendelea.

#teamrafiki itaendelea kuwepo hata kwaresma ikiisha?

Cc: Lady niece, Mentor, Passion Lady, miss neddy, Mndengereko na wengineo.

teamrafiki itaendelea kuwepo sio baada ya qwaresma tu bali hata baada ya sisi kuondoka hapa duniani watoto wetu watakuja kuliendeleza kundi coz hakuna asiependa urafiki na upendo kwa binaadamu wenzake. So kuwepo badala ya qwaresm wory out.
 
Last edited by a moderator:
Nice avatar! Ndio mnaamzaga hivyo hivyo!

Red card!

aisee ntuzu unanichukia aisee!! dah!

haya bana, mi naenda.. nageuzia hapa kabisaaaa!!! nna dam chaf eenh!
 
Kuna kitu kilikuwa kinaitwa #teambazazi , na hivi sasa mmeanzisha [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=teamRafiki]#teamRafiki [/URL] , swali hili kundi jipya limeanza kutokana na uwepo wa kwaresma?

Maana katika vipindi kama hv baadhi ya mambo yanapungua mtaani na kipindi kikiisha mambo yanaendelea.

[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=teamRafiki]#teamRafiki [/URL] itaendelea kuwepo hata kwaresma ikiisha?

Cc: Lady niece, Mentor, Passion Lady, miss neddy, Mndengereko na wengineo.


#teamRafiki imeanzishwa kabla ya Kwaresma! Kwahiyo lazima idumu daima!

Na hatutaki ufadhili kutoka sehemu yeyote na nchi yeyote! Pesa zenu chafu zinafadhili Ubazazi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom