Introducing teamrafiki

Introducing teamrafiki

sina hiyo tabia kwani baba paroko hajanifundisha hivyo kabisa
na huu mfungo niliofunga si nitakuwa nimefanya kazi bure

wewe unataka nikose mbingu wakati najiandaa kutwaliwa

Hahaaa... Asante sana.

Nikija kwako inabidi nije na Mlinzi, usije ukanirukia buree!! Unitoe udhu.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa

Kutwaliwa nako mtihani aisee. Just kidding sweetheart.

We are saved just by Grace neither by power nor mighty one is saved.
Keep the prayers going, embrace the Holy Ghost and let Him take control. We are living at times where we are now listening with our eyes and reasoning by our feelings, keep away from this own trap and you shall see the Father and share his Kingdom.

If very one can find answers to this questions honestly with logical consistency, imperical adequacy and existential relevancy, assuredly life hapa duniani na baada ya duniani yatanyooka (mtu asiniulize kama yapo maana baada ya kujibu utakua umeshajua)

1. Origin : Who are we, where from? etc etc
2.Meaning: what it means to be a human? what brings value and meaning in life?
3.Morality: (right and wrong..... Good and Evil)
4.Destiny: What next after life lived?....

All the best bana nsije nkaanza kukuchanganya bure.

Many thanks. Tz
CC Mtambuzi, Mr Rocky, Karucee, Kaunga, Eiyer (paroko), utafiti, watu8, Mndengereko na #TR yote

sina hiyo tabia kwani baba paroko hajanifundisha hivyo kabisa
na huu mfungo niliofunga si nitakuwa nimefanya kazi bure

wewe unataka nikose mbingu wakati najiandaa kutwaliwa
 
Last edited by a moderator:
anza kuwa member kwanza bibie ukishayazoea mazingira na kujua org inafanye kazi tutakupa vyeo vingine.
na kwanini umekimbilia kuwa mshika fedha lol!!

mpaka sasa mi ni memba na kadi nishachukua
hiyo kazi ya utunza fedha nina uzoefu nayo
nyumbani kwangu nina kibubu chenye
kufuli,siweki pesa benki kuepuka foleni!!
 
nyumbani kwangu nina kibubu chenye
kufuli,siweki pesa benki kuepuka foleni!!
[/FONT][/SIZE][/COLOR][/QUOTE]
Umenifurahisha sanaa kweli kibubu kinasaidia hakuna makato yoyote km benki
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom