Introducing teamrafiki

Introducing teamrafiki

teamrafiki itaendelea kuwepo sio baada ya qwaresma tu bali hata baada ya sisi kuondoka hapa duniani watoto wetu watakuja kuliendeleza kundi coz hakuna asiependa urafiki na upendo kwa binaadamu wenzake. So kuwepo badala ya qwaresm wory out.

Uko sawa kabisa mkuu. Na nivizuri iandikwe tarehe ya leo 6 March 2014 kama ni kumbukumbu ya tukio la kutangazwa tasmi #TEAMRAFIKI na aidhimishwe kila mwaka na member wake
Cc Mr Rocky, Ntuzu, mwallu, Tized, miss chagga, Lady niece na member wengine wote
 
Last edited by a moderator:
aisee ntuzu unanichukia aisee!! dah!

haya bana, mi naenda.. nageuzia hapa kabisaaaa!!! nna dam chaf eenh!


Ngoja nikuitie miss neddy akuhoji kidogo tuone Km tutamusamehe tukupe card ya njano!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom