excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,861
ni aina ya program ya kufanyia hesabu na kuingizia data kwenye computer..
na huyu wa JF wamfahamu vipi?
ni aina ya program ya kufanyia hesabu na kuingizia data kwenye computer..
unasemajeeee?? aisee naona unataka kuchafua hali ya hewa!! huo urafiki unalazimishwa?
kuwa na upendo lazima ujiunge kwenye saccoss ama? hii si willingness ya mtu?
unasemajeeee?? aisee naona unataka kuchafua hali ya hewa!! huo urafiki unalazimishwa?
kuwa na upendo lazima ujiunge kwenye saccoss ama? hii si willingness ya mtu?
Ntuzu #teamrafiki imetangazwa leo=imeanzishwa leo.[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=teamrafiki]#teamrafiki [/URL] imeanzishwa kabla ya Kwaresma! Kwahiyo lazima idumu daima!
Na hatutaki ufadhili kutoka sehemu yeyote na nchi yeyote! Pesa zenu chafu zinafadhili Ubazazi
ni willingness yap but inapobidi itabidi tutumie forcing kukuleta huku ni kwa faida yetu sote aiseeee
Tumeshapewa ruksa! Liwalo na liwe!
unaweza kunieleza mdalaliko wa katiba humu?
mamii mambo mengine usiwe unaingia tu from nowhere! think first!
sasa tutakuelezaje kuhusu katiba wakati uko nje ingia ndani upewe darsa maridhawa kuhusu hii team
Kuna sumu kali ni balaaa, watu wamejivua magamba ya #teambazazi na kujivika ngozi ya #teamrafiki , chakushangaza sumu waliyo nayo ni ile ile.
Mmedanganywa na nini? charminglady, Lady niece, Passion Lady, Honey Faith, tinna cute, Heaven on Earth, miss neddy, Munkari, na wengineo.
aliyekuingiza bila ridhaa yangu ni nani?
Unajiungaje? maana naona kila mtu anaonyesha uwezo wake wa kupayuka badala ya kueleza mambo ya msingi kuhusu hii issue!
moyo wanguuuuuu moyo wanguuuuuuu
honey... how is your say here?
we ngoja..! leo nakufinyia kwenye blanketi mpaka uniambie qudadeki!!
yani leo! halafu nimekuona sehemu ambayo sikutegemea kabisa leo!
hahahahahahahahaha nilikuwa napita kuangalia kama upogo
unataka kuehuka eenh!! ngoja nikakuchokoze kule! karucee alikuja qudadeki akakimbia siku hiyo hiyo!
watu wamepinda kule! ila usiogope!!!