Introducing teamrafiki

Introducing teamrafiki

Teh Teh Teh

Yani Shemeji yako lazima arudi nayo!


Usisahau tuu kumwambia apitie Arusha alete thamaki aise mkuu Ntuzu au akiwa kule anitumie bana hahahah kuna njia nyingi tuu aise
 
Last edited by a moderator:
Ladies and gentleman napenda kuchukua nafasi hii nikiwa kama co-founder wa #team RAFIKI nikiambatana na mwenzangu utafiti kuwatambulishia rasmi(official announcement) ya #team RAFIKI

#team RAFIKI ni nini?(origin ya #team RAFIKI ) .#team RAFIKI ni matokeo ya uhitaji wa timu ya marafiki wanaoshauriana na kupeana mikakati mbalimbali inayodumisha amani,upendo na maadili hapa jamhuri ya MMU na cc(chit chat) so lengo la kuanzishwa kwake ni kupeana ushauri katika mambo mbambaliya kimaisha pamoja na kuongeza urafiki wetu members wa jamiiforums cause tunaamini jf ni means tu ya kukutana lakini urafiki wa kweli upo au unatokea mahali popote.

Nani anaweza kuwa #team RAFIKI ??
Kwa ufupi kila mtu anaweza kuwa #team RAFIKI coz lengo kuu ni kudumisha urafiki wetu and nothing else so far kuna senior member na junior members wa #team rafiki nitawataja kwa ujumla wao bila ya ku classify yupi yupi ni yupi ukiacha co—founder Mndengereko na bw. utafitti member wengine ni miss chagga mwallu Ntuzu Mr Rocky Ntuzu Mokoyo miss nedy Mentor Heaven on Earth @ Tized kukucd Lady niece Sungura 1980
(kama kuna mwingine nimemsahau naomba kukumbushwa tafadhali)

updates: newest member: J.lee atug HHHK Dinazarde @karucee


So nyooooooote mnakaribishwa katika #team RAFIKI .
Pia ukiwa na swali au lolote la kuchangia unakaribishwa katika uzi huu pia kama kuna chochote ambacho nitakuwa nimekisahau members wenzangu watanisaidia kurekebisha au kuongeze,naomba kuwasilisha

CC : Nicas Mtei , mwekundu




ladyfurahia pitia huu utambulisho Wa awali kabisa Wa timuRafiki Uangalie vzr km wewe umo au Mimi simo?

Alafu linganisha Na fomu yako kule unayotaka niijaze upya!
 
Last edited by a moderator:
Hivi cjajua kitu ki1, km niko interested na hii tm, najiunga ama naunganishwa!
 
Back
Top Bottom