Introducing teamrafiki

Introducing teamrafiki

Malengo ni kuhakikisha jf members wote wanakua [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=teamrafiki]#teamrafiki [/URL] isipokua wale walioshindikana kama Excel, mwekundu na wanzake ila hata hao mwisho watakubali. Kadi wote mtapata ila kuna vigezo na mashart kwa kila muombaji, subiri Mr Rocky aseme neno upatiwe kadi yako sasa

labda nimsaidie tu mkuu Mr Rocky naona atakuwa busy taarifa za kiintelijisia zinaonyesha kwamba honeyfaith una tabia nzuri ambazo zinaendana na maadili ya #teamrafiki so kwa kuwa umekidhi vigezo na sisi lengo letu ni kudumisha urafiki wetu so umekubaliwa na umepewa every acces ya kuwa mwanachama halala wa #teamrafiki so tafadhali ingia kwenye chama kadi yako itakufuata hukohuko.
 
Last edited by a moderator:
labda nimsaidie tu mkuu Mr Rocky naona atakuwa busy taarifa za kiintelijisia zinaonyesha kwamba honeyfaith una tabia nzuri ambazo zinaendana na maadili ya #teamrafiki so kwa kuwa umekidhi vigezo na sisi lengo letu ni kudumisha urafiki wetu so umekubaliwa na umepewa every acces ya kuwa mwanachama halala wa #teamrafiki so tafadhali ingia kwenye chama kadi yako itakufuata hukohuko.

Nashukuru kwa kunisaidia Honey Faith ungana na wenzako kina mwallu na wenzake umekua #RAFIKI sasa
 
Last edited by a moderator:
ondoa shaka nitamwambia shem wako Mndengereko akupe nafasi uipendayo


mpaka sasa mi ni memba na kadi nishachukua
hiyo kazi ya utunza fedha nina uzoefu nayo
nyumbani kwangu nina kibubu chenye
kufuli,siweki pesa benki kuepuka foleni!!
 
Last edited by a moderator:
jamani msimalize kadi... bado niko njia panda naja...!!!
 
mpaka hapo ushanchanganya kabisa
nachosubiri tu kwangu kutwaliwa kwenda
juu mbinguni na si kwingineko
Hahahaaaa

Kutwaliwa nako mtihani aisee. Just kidding sweetheart.

We are saved just by Grace neither by power nor mighty one is saved.
Keep the prayers going, embrace the Holy Ghost and let Him take control. We are living at times where we are now listening with our eyes and reasoning by our feelings, keep away from this own trap and you shall see the Father and share his Kingdom.

If very one can find answers to this questions honestly with logical consistency, imperical adequacy and existential relevancy, assuredly life hapa duniani na baada ya duniani yatanyooka (mtu asiniulize kama yapo maana baada ya kujibu utakua umeshajua)

1. Origin : Who are we, where from? etc etc
2.Meaning: what it means to be a human? what brings value and meaning in life?
3.Morality: (right and wrong..... Good and Evil)
4.Destiny: What next after life lived?....

All the best bana nsije nkaanza kukuchanganya bure.

Many thanks. Tz
CC Mtambuzi, Mr Rocky, Karucee, Kaunga, Eiyer (paroko), utafiti, watu8, Mndengereko na #TR yote
 
Nddo mie unasemaje?????

mbona kama umenikasirikia hivi? lengo kuu la teamrafiki ni kupendana, kuonyeshana upendo! umenielewa lakini?

sasa punguza hasira nikuambie kitu...
 
Back
Top Bottom