excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,861
Thanx mpendwa!.
hilo sio jibu bana! sema nakupenda pia!
Thanx mpendwa!.
Lady niece!hatutakupa uanachama kama unaleta u Bazazi wako
hapa chama chetu si mabazazi kamwe haturuhusu
marafiki wa aina hiyo hapa sisi ni waupendo, wamoja
na ambao tunaheshimiana hivyo ondoa ubazazi wako
Mndengereko hii kitu inatofuti na kuwa just in Jf?
haina tofauti mkuu hapa ni just kurekebishana tu pale kidogo tunapokosea kwa kupeana ushauri na kuwa karibu zaidi kama jf memberss nothing else.
hilo sio jibu bana! sema nakupenda pia!
mmempatia sana hapo lazima aombe poo na ageuze njia.,hiyo ndio dawa yao mabazazi wote.
ngoja nimfuate chitchat nikamachanie hukohuko ndo alikojificha huko.Hahahahaha!!!!! kama inaruhusiwa hebu mchanie mistari kidogo huyu bazazi.
Habari zenu wakuu. toka nilipojiunga jf sijawahi kuchangia. Ila leo kwa heshima na taadhima naomba kukaribishwa team rafiki.
Nimepita hapa
Ok, Mndengereko nikaribishe member mpya#team rafiki
ngoja nimfuate chitchat nikamachanie hukohuko ndo alikojificha huko.