Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,659
- 20,994
HONGERA WAZIRI HILI NI BAYA SANA
Kama alilazwa Gest na kupatiwa matibabu huko, huyo ahesabiki kama ni mgonjwa wa Amana Hospitali.
Kesi ya kujieleza apo ni kutumia vifaa vya hospitali ya Amana kwenda kumtibia mgonjwa wako nyumbani. Na kama hivyo vifaa vilirudishwa hospitali, hamna kesi apo ni onyo la mdomo tu asirudie tena.
She failed long way back....!She has already failed, trust me..
Tumeazime tumtumie kama vivuzela kuhamasisha wachezaji wetu uwanja wa Kaitaba.Huyu waziri hamna kitu kichwani. Makelele tu
Balance ipi unayoitaka?hii sio sehemu ya kupost udaku badala ya habari,na kwanini viongozi mmeipitisha habari iliyokosa mashiko kama hii,habari haina balance
Wizara ya afya aindeshwi kwa utashi wa mtu, asilimia kubwa ya guidelines zinatolewa na WHO watu wote duniani wana implement kwa mtindo wao.
Sisi tatizo letu tukisha copy practice regulations azifuatwi, na hakuna watchdog to reinforce adherence. Soma hizo safe practice guidelines za wizara ya afya uone ni makosa mangapi wamefanya.
Tumezoea kuona watu wasiokuwa na skills wakisimamia hiyo wizara, anapoingia technocrat tunaona anakurupuka kumbe anafanya kazi yake ya kuendesha wizara kwa ustadi wa hali ya juu.
Someone with wider knowledge on the subject in managerial position; borrowed from IT jargons.Technocrat ni mtu wa aina gani?
Someone with wider knowledge on the subject in managerial position; borrowed from IT jargons.
The mere fact waziri anaitwa overseer unatakiwa uelewa that is a synonym for manager.Katika wizara nafasi ipi ni managerial au nani unaweza kumfananisha na manager?
Badala ya kumshauri kuja hospitali moja kwa moja, mshaur kupitia MSD apeleke dawa na vifaa tiba hospitalini hapo.Namshauri waziri afike Tumbi awatume tena watu wake huko wajifanye wagonjwa, hosptali unaambiwa gloves kuanzia atakazotumia Dr utakayemwona, umnunulie Gloves nesi atayekuja kukuchukuwa sampli. Yaaani shida tupu.
The mere fact waziri anaitwa overseer unatakiwa uelewa that is a synonym for manager.
Nani ni nani hapo wizarani ni jukumu lako kujua roles za senior managers, middle managers and lower managers in line with government administration roles.
Mfano katibu mkuu ni chief operation manager and what senior manager do you think a minister is?
Vinginevyo tunataka kupeana kazi ya kutoa somo la management and honestly I don’t believe it’s my duty.
i? si anatumbua majipu!Wizara ya afya kwa mara ya kwanza haina waziri bali inamcheza cinema tu.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima ameagiza Daktari aliyejimilikisha hospitali ya Amana kwa lengo la kujitajirisha achukuliwe hatua kali
Daktari huyo mwenye jina kapuni amebainika kutumia Vifaa vya Hospitali hiyo ambavyo vinamilikiwa na Serikali ili kuwatibu Wagonjwa lakini malipo yote alikuwa akiyapokea binafsi
Tuhuma dhidi yake zimetolewa na Mgonjwa kwa Wizara hiyo ambaye alilipishwa laki 7 na kuhudumiwa na Nesi huku akiwa amelazwa Gesti badala ya kulazwa kwenye Wodi za Wagonjwa na wala hakuambiwa anaumwa nini
Waziri wa Afya ameagiza hatua zote za kinidhamu zifuatwe katika kumshughulikia Daktari huyo. Ametoa agizo hilo akiwa katika ziara ya kikazi Mkoani Dar es Salaam alipotembelea Hospitali ya Amana kujionea utendaji kazi.
Huu ni uzushi.Mtu ulazwe gesti kweli?Wanatuona si vilaza???!!!Hii habari ya "jina kapuni" chanzo chake ni wapi?
Mtu mzima na akili timamu unakubali kulazwa guest ukiwa mgonjwa?!
Give me a break.
The mere fact waziri anaitwa overseer unatakiwa uelewa that is a synonym for manager.
Nani ni nani hapo wizarani ni jukumu lako kujua roles za senior managers, middle managers and lower managers in line with government administration roles.
Mfano katibu mkuu ni chief operation manager and what senior manager do you think a minister is?
Vinginevyo tunataka kupeana kazi ya kutoa somo la management and honestly I don’t believe it’s my duty.
Usikariri maswala ya uongozi katibu mkuu ndio mtu anaesimamia maswala ya uendeshwaji wa wizara kila siku obvious moja ya majukumu yake ni kuchukua hatua so is the hospital manager at execution level (depending on decentralised decisions).Kwa hiyo wewe katika kusoma kwako mpaka leo hujui makatibu wakuu wa wizara ndio wenye mamlaka rasmi ya kuwawajibisha watumishi katika wizara zao?