Heparin
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 128
- 421
Wakuu,
Hii ni hospitali ya Amana, Kivule. Vyombo vya kuhudumia wagonjwa na kufanyia upasuaji vinasafishwa kwa maji ya baridi ya bomba bila hata kufuata taratibu sahihi za kuvitakasa.
Huu ni uzembe wa hali ya juu, haiwezekani vifaa hivi vioshwe kwa mtindo huo, vianikwe juani kisha mtu mwingine ahudumiwe kwa vifaa hivyo hivyo.
Kumbuka, hata upasuaji huhusisha vifaa hivyo hivyo.
Serikali iwajibike, lakini zaidi ichukue hatua kali dhidi ya wahusika.
Pia soma:
Hii ni hospitali ya Amana, Kivule. Vyombo vya kuhudumia wagonjwa na kufanyia upasuaji vinasafishwa kwa maji ya baridi ya bomba bila hata kufuata taratibu sahihi za kuvitakasa.
Huu ni uzembe wa hali ya juu, haiwezekani vifaa hivi vioshwe kwa mtindo huo, vianikwe juani kisha mtu mwingine ahudumiwe kwa vifaa hivyo hivyo.
Kumbuka, hata upasuaji huhusisha vifaa hivyo hivyo.
Serikali iwajibike, lakini zaidi ichukue hatua kali dhidi ya wahusika.