Hospitali ya Amana: Daktari abainika kutumia Vifaa Tiba vya Serikali kutibu Wagonjwa na kujilipa binafsi

Someone with wider knowledge on the subject in managerial position; borrowed from IT jargons.
Technocrat is a subject matter expert (SME). Not necessarily in managerial position rather a staff in a certain unit with wider knowledge of specific subject matter.
 
Technocrat is a subject matter expert (SME). Not necessarily in managerial position rather a staff in a certain unit with wider knowledge of specific subject matter.
It’s for those reasons I mentioned where the term was borrowed from referring to someone who is just an expert in the field.

However if used in political contexts it usually implies an expert in something holding a senior government post which traditionally doesn’t require that level of high knowledge.
 
Nilidhani unaweza ukaelewa kwamba hapa ni jukwaa na hakuna mwenye majibu ya moja kwa moja bali maoni, anayeweza kuwa na majibu ni Dr na mgonjwa wake. Jiulize ailyetibiwa guest ni mfanyakazi wa wizara ya afya, aliyekuwa anamtibu ni Dr ambaye pia ni mwajiliwa wizara afya. Hebu tafakari kidogo alafu rudia kusoma post yangu utaelewa kitu
Hakuna mahali panasema huyo mgonjwa ni mtumishi wa wizara, au alitumwa na wizara kuchunguza.
Ingekuwa ni uchunguzi vyombo vya usalama vingehusika ila ukimsikiliza waziri anadai alitumiwa sms na huyo mgonjwa.
Anyway Kama ni mtazamo, ni sawa maana mtazamo hauna ukweli wowote.
 
Back
Top Bottom