BIG BROTHER ALEX
JF-Expert Member
- Sep 24, 2025
- 1,293
- 2,214
Mbona wametangaza dar na pwani
Miaka 60+ baada ya Uhuru tunazungumzia shida ya maji.Hello Wakuu
Hii mitaa yetu huku Dar es Salaam tunakabiliwa na changamoto ya maji karibia wiki nzima na sio kawaida kabisa
Naomba kuuliza ni viunga vyetu tu hivi vya kimaskini au nchi nzima hili tatizo lipo?
Hii hali ikiendelea hivi mbele kutakuwa kubaya sana
😂😍Tukiwaaambia mchimbe visima au mvune maji ya mvua hamtaki
Au uongo boss
Ndiyo Ukweli WenyeweAu uongo boss