Ikizidi sana kunywa sumu ufe huyo ndio rais mpaka 2035Mungu hawezi kumjaalia huyu LAANAKUM wa kike.
Amelaaniwa DUNIANI na Mbinguni.
Mimi siteseki namkubali sana huyu rais nyie mnaoteseka poleniMaisha marefu ili aendelee kututesa
Na ninyi mnaomkubali hongereniMimi siteseki namkubali sana huyu rais nyie mnaoteseka poleni
Samia hoyeeeeee.....Mnamo tarehe 27 Januari 1960 Rais wa Awamu ya Sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan alizaliwa huko Makundichi Zanzibar.
Leo anatimiza umri wa miaka 62. Ni Rais wa kwanza mwanamke nchini kwetu na mfano wa kuigwa kwa wasichana, wanawake na watu wa rika na jinsia mbalimbali kwa namna moja ama nyingine.
Tunaamini kuwa leo asubuhi 27 Januari 2022 Saa 12:00 Asubuhi - 03:00 Asubuhi kupitia mahojiano maalum katika kipindi cha Jambo Tanzania katika Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) utakuwa na mengi ya kutueleza yakuhusuyo wewe, maendeleo endelevu ya nchi yetu na mustakabali bora wa nchi yetu pendwa ya Tanzania.
Tunakuombea kwa Mwenyezi Mungu awe nawe katika uongozi wa awamu ya sita, akujalie afya njema, furaha, maisha marefu na nguvu za kuwatumikia watanzania bila kuchoka wala kukatishwa tamaa katika kuhakikisha taifa hili linapata maendeleo.
Heri ya Kumbukumbu ya Siku ya Kuzaliwa Rais wetu na daima Kazi Iendelee.
View attachment 2096714
View attachment 2096717
Team January..Mnamo tarehe 27 Januari 1960 Rais wa Awamu ya Sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan alizaliwa huko Makundichi Zanzibar.
Leo anatimiza umri wa miaka 62. Ni Rais wa kwanza mwanamke nchini kwetu na mfano wa kuigwa kwa wasichana, wanawake na watu wa rika na jinsia mbalimbali kwa namna moja ama nyingine.
Tunaamini kuwa leo asubuhi 27 Januari 2022 Saa 12:00 Asubuhi - 03:00 Asubuhi kupitia mahojiano maalum katika kipindi cha Jambo Tanzania katika Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) utakuwa na mengi ya kutueleza yakuhusuyo wewe, maendeleo endelevu ya nchi yetu na mustakabali bora wa nchi yetu pendwa ya Tanzania.
Tunakuombea kwa Mwenyezi Mungu awe nawe katika uongozi wa awamu ya sita, akujalie afya njema, furaha, maisha marefu na nguvu za kuwatumikia watanzania bila kuchoka wala kukatishwa tamaa katika kuhakikisha taifa hili linapata maendeleo.
Heri ya Kumbukumbu ya Siku ya Kuzaliwa Rais wetu na daima Kazi Iendelee.
View attachment 2096714
View attachment 2096717
Ni afadhali tuna mtu ana fanya maamuzi baada ya kutafakariNa ninyi mnaomkubali hongereni
Na wewe nani anakupendaa utakufa nacho kijiba cha Moyo .Ukimpenda Usimpende ndio Raisi wetu wewe ni katika qaumu ya Firauni na muko wengi sana lkn hamuwezi kufanya chochote chuki zenu ndio maradhi yenu.Binafsi simpendi tu. Yaani simpendi tuu.
Utaweza kweli kumfuatilia kila aliyemtakia heri kumuuliza kama yupo Tanzania?!
HBD ya JPM ilikuwa tarehe ngapi mkuu?HERI YA SIKU YAKO YA KUZALIWA MHE.SAMIA SULUHU HASAN -RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MWENYEZI MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU NA KAZI IENDELEEView attachment 2096748
Tupe sababu za yeye kuwa mfano wa kuigwa, ugombea wena wa urais hujipendekezi, hujiteui wala hugombei, sasa mfano unaanzia wapi?Mnamo tarehe 27 Januari 1960 Rais wa Awamu ya Sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan alizaliwa huko Makundichi Zanzibar.
Leo anatimiza umri wa miaka 62. Ni Rais wa kwanza mwanamke nchini kwetu na mfano wa kuigwa kwa wasichana, wanawake na watu wa rika na jinsia mbalimbali kwa namna moja ama nyingine.
Tunaamini kuwa leo asubuhi 27 Januari 2022 Saa 12:00 Asubuhi - 03:00 Asubuhi kupitia mahojiano maalum katika kipindi cha Jambo Tanzania katika Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) utakuwa na mengi ya kutueleza yakuhusuyo wewe, maendeleo endelevu ya nchi yetu na mustakabali bora wa nchi yetu pendwa ya Tanzania.
Tunakuombea kwa Mwenyezi Mungu awe nawe katika uongozi wa awamu ya sita, akujalie afya njema, furaha, maisha marefu na nguvu za kuwatumikia watanzania bila kuchoka wala kukatishwa tamaa katika kuhakikisha taifa hili linapata maendeleo.
Heri ya Kumbukumbu ya Siku ya Kuzaliwa Rais wetu na daima Kazi Iendelee.
View attachment 2096714
View attachment 2096717