birthday

A birthday is the anniversary of the birth of a person, or figuratively of an institution. Birthdays of people are celebrated in numerous cultures, often with birthday gifts, birthday cards, a birthday party, or a rite of passage.
Many religions celebrate the birth of their founders or religious figures with special holidays (e.g. Christmas, Mawlid, Buddha's Birthday, and Krishna Janmashtami).
There is a distinction between birthday and birthdate: The former, other than February 29, occurs each year (e.g., January 15), while the latter is the exact date a person was born (e.g., January 15, 2001).

View More On Wikipedia.org
  1. THE FIRST BORN

    Tarehe 12.5.2024 Yanga atatangazwa Bingwa Msimuu huu na Mimi Tarehe hio itakua siku ya Birthday Yangu.

    Hatimae ndoto ambayo niliyokua naiota Miaka Mingi inaenda kutimizwa..Nimekua nikiomba sana Siku ninayosherekea siku yangu ya kuzaliwa Mtu wa soka,Mtu ambae nimezaliwa Kutoka kwa mama Mnyarwanda Mpenda Football ambae Ndoto yake kubwa ilikua siku moja anione nachezea Manchester United ila sema tu...
  2. Excel

    Happy birthday Admin wa Mashujaa FC

    Huyu jamaa ndie mbunifu mkuu na admin wa wazee wa mapigo na mwendo. namkubali sana kwa sanaa yake katika Page za Mashujaa FC, wazes wa mapigo na mwendo
  3. Robert Heriel Mtibeli

    Happy Birthday to me, kwaheri ujana. Sasa ni muda wa busara za kiutu uzima

    HAPPY BIRTHDAY TO ME. KWA KHERI UJANA. SASA NI MUDA WA BUSARA ZA KIUTU UZIMA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Namshukuru Mungu. Leo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu. Nikiwa nimetimiza Rasmi miongo mitatu kamili(miaka 30). Nimejifunza mengi. Nimefanya mengi kwa muda huo. Namshukuru...
  4. Hance Mtanashati

    Happy Birthday Floyd Mayweather

    Leo ni kumbukumbu ya mfanano wa siku ya kuzaliwa ya bondia tajiri zaidi duniani ambaye si mwingine bali ni Floyd Mayweather Jr wengi wanapenda kumuita The Money May. Floyd Jr baba yake mzazi anaitwa Floyd Mayweather Sr ambaye alikuwa pia bondia na mama yake Deborah Sinclair alikuwa ni mhasibu...
  5. GENTAMYCINE

    Je, ni sahihi kwa Marais wa Afrika kufanya Promotions za Birthday Parties zao Redioni na Runingani huku nchi zao zikiwa ni Maskini na Wananchi wao?

    Nasisitiza tena hapa nawaongelea Marais wote tu wa Afrika, sasa Wewe jitutumue kuja Kukurupuka namsema wako nikupe ulichokuwa ukikitafuta kwa huko Kuwashwawashwa Kwako.
  6. Wimbo

    Happy Birthday Madamu Samia Suluhu Hasani

    Nianze kwa shukrani , nimshukuru Rabuka, Yeye ni mwenye auni, tena mwingi wa baraka, Nguvuze zapita kani, haziwezi elezeka, HONGERA MAMA SAMIA 63 KUTIMIZA. Mengi alikujalia , wete tumeshuhudia vema umesimamia, kwa upendo kadilia, sifa Tunampatia, Muumba wa hidunia, HONGERA MAMA...
  7. Intelligent businessman

    Happy birthday to me Intelli, I mean no malice to anybody

    December 31 I was finally birthed, it was time for me to find what is this planet worth. Jamaa home where I got my sernity first, you can say, this is where I was handled my bless. I have been hustling since a kid and iam so talented based, it was like a game to me, I never knew hustling paid...
  8. Stroke

    Happy Birthday to me Next week i am turning another decade

    Wakuu, Next week! That is Next year!! It's very very big for me. Natimiza muongo mwingine. I am so happy I feel so blessed! Much love.
  9. Annie X6

    Eti suprise unimwagie maji. Kisa birthday yaani nitakuvunja mbavu

    Hii tabia siipendi. Nani kasema ni kumwagiana maji, mambo ya kubatizana yanaanzia wapi.
  10. Anna Mwaigomole

    Happy Birthday Dada Mkubwa Heaven Sent!

    Naamini hunijui. Na mimi nakiri kuwa sikujui. Hatujuani! Lakini zamani wakati sijajiunga JF ulikuwa unaandika sana hasa kuhusu ushauri wa kimahusiano, malezi ya watoto, familia, mambo ya kiroho; na maisha kwa ujumla. Mwaka 2018 au 2017 (sikumbuki vizuri), nilisoma comment yako moja hivi...
  11. Mahondaw

    Happy birthday cocastic

    The day is finally here shostie. Have loads of fun and more happy days of joy . Let your life be filled with health love strength success and passion. Wish you more years of happiness and wonderful experience cocastic . Happy birthday cocastic
  12. Mr Beast

    Tunasheherekea Uhuru wa Tanzania, hakuna kitu cha kisheria kinaitwa Tanganyika

    Haraka haraka na kwa ufupi sana, April 26 mwaka 1964 Tanganyika na Zanzibar walifunga ndoa kisheria na kila April 26 ni anniversary ya Tanganyika na Zanzibar,hapa tunakubaliana wote, Kwenye ndoa wenza hasa mke hupendelea kutumia baadhi yamajina ya mume na hili kisheria linakubalika...
  13. BARD AI

    UPDATE: Watumishi waliomwagiana Maji ya Dripu wakisherehekea 'Birthday' wasimamishwa Kazi

    ============= Serikali iemanza kufanya uchunguzi kuhusu video inayosambaa mtandoni ikiwaonyesha watoa huduma za afya wakisherehekea siku ya kuzaliwa kwa kumwagiana majitiba maarufu ‘dripu’. Akizungumza na Mwananchi leo Jumapili, Desemba 3, 2023 Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Tumaini Nagu...
  14. Msanii

    Happy Birthday Msanii🌷🌼🌻, lakini unanikera aisee

    Happy birthday kwako (kwangu) Msanii Leo umetimiza miaka kadhaa tangu uanze kupumua juu ya ardhi hii ya wadudi. Natumaini umejifunza mengi na kuona mengi kwenye dunia hii hii ambayo ni nzuri kwa wachache na shubiri kwa wengi. Ombi lako (as birthday wish) kwa uongozi wa JamiiForums kwamba...
  15. Fabian Vitus

    Happy birthady

    Kwanza kabisa nashukuru Mungu kwa kuendelea kunipa zawadi hii ya uhai maana Sina cha kumlipa zaid ya maombi na Sala kwake🙏🙏 ✍️Kama Uzi unavyojieleza kama WWE ni mmoja wapo umezaliwa tarehe kama hii Mwezi kama huu Mwaka kila mtu anajua wake naomba tujipigie makofi Maana Mungu Ameweza kutufikisha...
  16. BARD AI

    Meja wa Jeshi la Ukraine afariki kwa kuripukiwa na Bomu alilopewa kama zawadi ya 'Birthday' yake

    A Ukrainian major has died after he was accidentally blown up by a grenade given to him as a birthday present.⁠ ⁠ Hennady Chastyakov was killed as he showed the gift to his teenage son at home on Monday, officials said.⁠ ⁠ It was initially thought that the 39-year-old had been killed by a...
  17. Mwande na Mndewa

    Happy heavenly birthday Hayati Rais John Pombe Magufuli

    Siku kama ya leo miaka 64 iliyopita alizaliwa mtoto aliyekuja kufufua matumaini ya Watanzania,shida za Watanzania zikapata ufumbuzi,matatizo ya Watanzania akayanunua na kuwa matatizo yake,ikawa kila mwenye tatizo alikwenda kwake na kutatuliwa tatizo lake,alikuwa mwenye kipaji cha Uongozi toka...
  18. Poppy Hatonn

    Happy Birthday. Leo ni birth day ya Dr. Slaa.

    Leo ni birth day ya Dr Slaa. Nimeona katika internet. Ingawa yeye alitamka October 28 ndiyo birth day yake. Namtakia Dr. Slaa afya njema na mambo yote mema;yeye,familia yake na rafiki zake.
  19. Vincenzo Jr

    Happy birthday Hayati Dkt. Magufuli

    Kheri ya siku ya mfanano wa Kuzaliwa Kwako , Comrade Hayati Dkt JOHN POMBE MAGUFULI. Uli wanyoosha sana chawa wa ccm
Back
Top Bottom