A birthday is the anniversary of the birth of a person, or figuratively of an institution. Birthdays of people are celebrated in numerous cultures, often with birthday gifts, birthday cards, a birthday party, or a rite of passage.
Many religions celebrate the birth of their founders or religious figures with special holidays (e.g. Christmas, Mawlid, Buddha's Birthday, and Krishna Janmashtami).
There is a distinction between birthday and birthdate: The former, other than February 29, occurs each year (e.g., January 15), while the latter is the exact date a person was born (e.g., January 15, 2001).
Tajiri wa Katoro sio mtu wa kupenda unyonge! Hapana kabisa! hana dogo, anapenda kujulikana kwamba ana mkwanja mrefu kama mguu wa twiga! Na usidhani ni maneno tu, tuliona video wiki iliyopita zilizotuteka headlines mitandaoni.
Kwenye sendoff ya mtoto wake alianza kwa kum book Ali Kiba na wala...
asiende
bila
birthday
diamond
harusi
jeuri
jeuri ya pesa
katoro
kiingilio
kufanya
kwao
matajiri
mtoto
mtoto wa
mwanza
nyuma
pesa
shoo
show
siku
tajiri
tarime
vita
wakati
To the love of my life: Thank you for being my friend my best friend my life mate my everything!
You’re not just my love sweetheart you’re my destiny my heart a perfect match.
No words can explain how much you mean to me Smart . Wishing you a day full of happiness joy and laughter.
Happy...
MUDA, HAKIMU ASIYEPOKEA RUSHWA
Na Emily Mwakilembe
Mwanadamu anaweza kujenga ukuta wa uongo, lakini muda huufanya uchakazwe na upepo wa ukweli. Anaweza kununua sifa kwa fedha, lakini hawezi kununua heshima ya historia. Anaweza kuficha makosa kwa kipindi fulani, lakini hawezi kuuzuia muda...
Siku kama ya leo, mwezi wa sita, mwaka fulani… ndio tulibarikiwa Mganga wa JF😎
kabla ya wokovu aliitwa Mganga wa kilingeni msata hukooo
Ila now kama ni Mganga basi ni wa level nyingine… not ulozi tena, but something different, deeper
Kila mtu ana jina lake la kumuita, but me I prefer kumuita...
The donation follows the Gen MK 52nd Birthday Run held on April 26, 2026, at Kololo Independence Grounds under the theme “Run for Charity, Run for Hope,” which attracted thousands of participants.
The Chief of Defence Forces and Senior Presidential Advisor in charge of Special Operations...
Leo ni siku ya kipekee sana kwako. Ninayo furaha sana kukutakia kheri ya kuzaliwa.
Wewe ni zaidi ya mpenzi kwangu, ni rafiki yangu wa kweli, faraja yangu na sababu ya tabasamu langu kila siku.
Nakutakia maisha yenye furaha, afya njema, mafanikio na upendo usioisha.
Mungu akupe miaka mingi...
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Leo katika kanisa tunafanya kumbukumbu ya kushuka kwa roho mtakatifu ahadi ya Baba
YESU KRISTO alisema kwamba wasitowaacha yatima nitawaleteen msaaidizi na atakapokuja huyo roho atawambia kweli, aliongeza kuwa lazima mimi niondoke ili...
Happy Birthday Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiAfrica 🎉🥳
Kwa niaba ya wana jamvii
Tuna kutakia afya njema, furaha, mafanikio na maisha yenye baraka tele
Thank you for your great contribution and for keeping the JF community active and connected every day
Mungu akuongezee hekima, strength na...
Niki ameshow love kwa Binti yake zuri, nakum wish happy birthday, wale mnaosema kachapiwa mtafuteni aliemchapia nick wa pili aende akamchukue mwanae.
Wabongo bhana kwa kukuza, wape picha maneno wanayo, jamaa YUKO na mwanae na alie kuwa mpenzi wake na maisha yanaendelea watu kimya.
Katika maisha Kuna mengi tunayokutana nayo,mengine tunayashinda na Kuna yanayotushinda.
Kwa hiyo Kuna mengi ya kumshukuru Mungu katika haya.
Nahitaji miaka mingi zaidi Ili niendelee kupata uzoefu na kujifunza zaidi.
Happy birthday to me.
As is the tradition since its launch in 2014, thousands of Ugandans yesterday hit the various streets running in commemoration of the 13th edition of Kabaka Ronald Muwenda Mutebi's 71st birthday run.
Photo credit: Nile post
Sunday’s turnout reflected sustained progress. For the first time in...
Hello April born babies.🥰
Kila mwaka ikifika mwezi kama huu Huwa nakuwa na furaha sana.
Huu ni mwezi wangu wa kuzaliwa na Huwa naufurahia sana.
Naendelea kukua na kuwaza mambo makubwa zaidi.
Mliozaliwa mwezi mmoja na mimi tuendelee kufurahia na kumshukuru Mungu kwa uzima na afya.
Wanawake nimewanyooshea mikono aisee
Yaani hawa wanawake ni hatari aisee
Yaani mwanamke nimemtongoza within this week na hata wiki yenyewe haijafika mwanamke ananiambia kodi imeishia, gesi imeisha na ndani ya wiki hii ana birthday kwahiyo nimnunulie keki ya happy birthday
Aisee ndugu zangu...
Salaam!
Yaliyotokea October 29,ujasiri ule wa wananchi kutoka kudai haki siku ya uchaguzi,inasemekana ilichangiwa na roho ya uzalendo aliyoipanda hayati Magufuli.
Sasa tunaelekea March 17 siku tuliyotangaziwa kifo Cha Magu, na ukizingatia akiba ya dhahabu mzalendo Magu aliyoitunza benki kuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.