Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,161
- 1,493
Mwenyezi Mungu huwa anafanya kwa wakati wake.
Tanzania kuna muda tuliomba na kuhiyaji viongozi na Rais atakaye liunganisha Taifa. Kwa hakika tumepata Samia Suluhu Hassan ambaye sio tu kaunganisha Taifa ila kaponya machungu ya wengi.
Tanzania iko salama, Madara yamerudushwa kwa Wananchi, chini ya Mheshimiwa Mchengerwa OR TAMISEMI iko kwa Wananchi wa kawaida, ni kipindi hiki cha awamu ya sita ambacho mkuu wa Mkoa na Wilaya wanaweza kuitwa na Wananchi kujibu hoja .
Hongera CCM kwa kuwa Imara kuhakikisha Watanzania wanapata maji, umeme, huduma za Afya, elimu bora etc.
Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania
Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kazi Iendeleee.
Tanzania kuna muda tuliomba na kuhiyaji viongozi na Rais atakaye liunganisha Taifa. Kwa hakika tumepata Samia Suluhu Hassan ambaye sio tu kaunganisha Taifa ila kaponya machungu ya wengi.
Tanzania iko salama, Madara yamerudushwa kwa Wananchi, chini ya Mheshimiwa Mchengerwa OR TAMISEMI iko kwa Wananchi wa kawaida, ni kipindi hiki cha awamu ya sita ambacho mkuu wa Mkoa na Wilaya wanaweza kuitwa na Wananchi kujibu hoja .
Hongera CCM kwa kuwa Imara kuhakikisha Watanzania wanapata maji, umeme, huduma za Afya, elimu bora etc.
Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania
Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kazi Iendeleee.