<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

Hapo sawa.... naona ushakubali iwe mkononi mwa shemejio.... mie wajua how I trust ukiwepo wewe au Husny....lol

Naona MJ1 Tumvutie subira.... yaana hadi nimechoka kumsumbiri aje angalie final touches...:yawn:
Mie nafikiri kila kitu kio sawa tu,
Tumsaidie kufaino laiz coz naamini akitoka huko atakuwa amechoka sana na anahitaji kupumzika tu.
 
Mwita Manyara.... Reading between the lines... I am humbled. Utadhani umeona makala yangu ambayo am about to post Jukwa la Dini (lililo shindikana kuliko yooote) lol....

Sasa kwa haya maelezo I have a gurantee kua naja na mimi, maana kisingizio cha Sweetie hapa ilikua guys hawataki! lol.... Yaani hapa kakamatika kama hakutaka mwenyewe niwepo!

hapa mnaongelea nini sweetie? Am lost....
 
Aisee nyie watu.....

Mmeifanya siku yangu kuwa so special.......... watoto wanashangaa tu hili dingi linacheka nini peke yake?

BTT: ADI my darling shem, sijaona sehemu yoyote ile kama kuna mjukuu aliyeandaliwa kushika mkongojo wangu wakati bibi yenu akinilisha keki. Si wajua kizeezee ulilishwa keki shurti umkumbatie mlishaji? Sasa wakati wa huu ukumbatiaji, mkongojo wa babu nani atanisaidia kuushika? Au hii haizingatii itifaki?

Baada ya kusema hayo, sasa waweza mleta golden mpolee huku tayari kwa ukaguzi na kumwingiza rasmi kwenye familia yetu.
 
haiya haiya

jamani malizieni haraka vitu vilivyobaki
Kipipi, Lizzy na AD waanza kupokea wageni
maana wameanza kuingia

hivi lakini hawa wageni walioanza kuja sasa hivi
wanataka wasaidie kupika!!!!
 
Usijali Golden mpolee ndio maandalizi yenyewe hayo,
Just get ready my dia.



inaruhusiwa kuvaa kama hii?

hot.jpg
 
Mwita Manyara.... Reading between the lines... I am humbled. Utadhani umeona makala yangu ambayo am about to post Jukwa la Dini (lililo shindikana kuliko yooote) lol....

Sasa kwa haya maelezo I have a gurantee kua naja na mimi, maana kisingizio cha Sweetie hapa ilikua guys hawataki! lol.... Yaani hapa kakamatika kama hakutaka mwenyewe niwepo!


Ha ha ha ADI,
Ahsante kwa kuja! Ndo maana waswahili wanasema kuku wako mwenyewe, manati ya nini!?

''I'm humbled''! Nimeipenda hiyo na sina shaka kwamba ndivyo ulivyo.
 
ADI,

Nisaidie sifa za smiles inawezekana nitammudu, as long she is readily available!lol

Cantalisia namuona kama mtoto wa baba paroko kwa saaana!

Btw, jina langu ni Maranya not Manyara.


Smiles

  • Ni so loving and caring
  • Crazy in a naive and sweet way.
  • Still growing up (undecided in such matters)
  • Unapesa ya kutosha? sio mtoto wa kuweza himili shida
  • Are you good in the suck? (If no usijisumbue) lol
  • Ni under ground mod na secretary wa Invisible.

Kwa sasa hizo zitakufaa..... Nakuonea huruma umemuopa Cantalisia.... She is almost perfect! lol
 
Mie nafikiri kila kitu kio sawa tu,
Tumsaidie kufaino laiz coz naamini akitoka huko atakuwa amechoka sana na anahitaji kupumzika tu.

haya vinywaji tayari tayari...just in case nimeweka pia Konyagi, Common na common sense, najuwa traditionalists watakuwepo tu (Maranya mmojawapo)....of course Amarula, na pia JD kwa muzee MTM and Co.

sasa ni mida ya kujiswafi....sweetie I need your help:tongue:
 
Muzee muzima....
Happy birthday....
Sasa....ok....ok.....
Have a blast...

@Shem: hivi hii mistari unaindaa mwaka mzima? unazama tu na kuibua mojamoja....
:focus:
 
Mumtafutie kwani ye kipofu jamani...!! Angalia usijeharibu party ya babu......lol!


Kipipi,
Ukifika nchi ya watu inabidi utafute wenyeji ili wakuonyeshe mji.
Barabara nyengine ni one way, ukiingia kichwa kichwa unaweza kuishia mikononi mwa polisi.
 
haya vinywaji tayari tayari...just in case nimeweka pia Konyagi, Common na common sense, najuwa traditionalists watakuwepo tu (Maranya mmojawapo)....of course Amarula, na pia JD kwa muzee MTM and Co.

sasa ni mida ya kujiswafi....sweetie I need your help:tongue:
Orait Big shem,
Umesomeka vizuri,nasubiri kuna mtu fulan km atahudhuria naweza piga hiyo makitu ya Amarula.
 
hapa mnaongelea nini sweetie? Am lost....


Darling Kaizer fuata trend..... you will get the answer....lol


Yap yap yap!
Happy birtday buddy!
Hii birtday yako imenistukiza, itabidi niishiriki kwa ile style yetu kongwe ya LMM! LOL

Mwita Manyara ndio maana hii sherehe imegaiwa in three stages..... Ya kwanza babu anasheherekea na wajukuu (of coz na kuwakaguaz), Ya pili ni wooote hadi wageni waalikwa na wana MMU wooote. Ya tatu na mwisho hapo ndio nyie wakulu mwaingia hapo.... Nimeambiwa akina mama hatutaruhusiwa... sherehe kwetu itakua imeisha! lol

Ha ha ha ADI, nashukuru kwa ufafanuzi wa ratiba na protokali. Nilimuomba ODM anikabidhi mjukuu wake mmoja ili niwe mdau wa kudumu wa MMU lakini bado hajasomeka!

Hiyo hatua ya tatu na ya mwisho itabidi na wewe ushiriki, kwakuwa unacheza namba zote uwanjani isipokuwa position moja tu! Lol

Hakuna shaka ADI, nimekusoma.
ODM ni chalii yangu nitaongea nae ili atie uzito hatimaye uruhusiwe kutujoin, at the same time endelea kusema na shemeji yetu atakuelewa tu, mtu wako mwenyewe hawezi kukushinda.

Hapo nilipobold? Relax. Hapa JF sijaona bandiko lako kwenye jukwaa moja tu. Maeneo mengine niliyofanikiwa kupita hata bila kutia neno ninaona mkono wako! lol

Mwita Manyara.... Reading between the lines... I am humbled. Utadhani umeona makala yangu ambayo am about to post Jukwa la Dini (lililo shindikana kuliko yooote) lol....

Sasa kwa haya maelezo I have a gurantee kua naja na mimi, maana kisingizio cha Sweetie hapa ilikua guys hawataki! lol.... Yaani hapa kakamatika kama hakutaka mwenyewe niwepo!
 
Halafu na wewe una kesi kubwa sana ya kujibu...... Unataka kuendelea kunidanganya bado unasuluhisha matatizo ya ndugu zako? Nlishakuambiaga mi najua kuoa tu, sijui kutoa talaka.

Haya mengine ni ya chumbani...Usiendelee sana hapa wajukuu wengi sana....Lakn Am sorry mengine nitakueleza badae.
 
Smiles

  • Ni so loving and caring
  • Crazy in a naive and sweet way.
  • Still growing up (undecided in such matters)
  • Unapesa ya kutosha? sio mtoto wa kuweza himili shida
  • Are you good in the suck? (If no usijisumbue) lol
  • Ni under ground mod na secretary wa Invisible.

Kwa sasa hizo zitakufaa..... Nakuonea huruma umemuopa Cantalisia.... She is almost perfect! lol


ADI,
Nimekubaliana na ushauri wako, sio kwamba sitomuweza smiles bali hatutowezana kabisa!lol

Kwakuwa una maunty wengi endelea kupitisha macho utampata tu.
 
Back
Top Bottom