<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

Hana nia mbaya... sisi mabinti nyumbani wooote wanapatana! hakuna kabisa ugomvi umeelewa dear... Nia yake ilikua hii hapa chini... Heb msome....lol

Jaman Goldemn Mpolee,
Ukuje basi huku jikon,unisaidie kusanga nyanya,
Then hizo sambusa tutamalizia baada ya kuunga mchuzi.



Kama nimebanwa tu kwa ajili ya sherehe basi ok. ctak kugeuzwa kuku wa kisasa!
 
mmmh! hapa kazi ipo... GM sasa si unaelewa ule msemo wa asie fanya kazi na asile?



Sweetie I bliv you get the idea leo ni kinywaji gani am in the mood for... Considering the challenges I have faced hapa....lol



aunty mm kila cku cfany kazi na sifi njaa na nina kila nitakacho!
 
Yap yap yap!
Happy birtday buddy!
Hii birtday yako imenistukiza, itabidi niishiriki kwa ile style yetu kongwe ya LMM! LOL



Mwita Manyara ndio maana hii sherehe imegaiwa in three stages..... Ya kwanza babu anasheherekea na wajukuu (of coz na kuwakaguaz), Ya pili ni wooote hadi wageni waalikwa na wana MMU wooote. Ya tatu na mwisho hapo ndio nyie wakulu mwaingia hapo.... Nimeambiwa akina mama hatutaruhusiwa... sherehe kwetu itakua imeisha! lol
 
Umeona eeeh? Alafu inakuaje unaagiza order kubwa hivo ya vinywaji kwa shemiyo? Umeanza kua kalevi eeh?
Big sisy,
Unajua kbs mie sio mlevi,na kiwango changu uankijua,acha leo nifurahie siku ya babu,
Nimedhamiria kuzima kbs kwenye hii sherehe ya our SWTY BABU,na sifanyi ivo wakati mwingine wowote,
 
Nashukuru mpendwa...Nawe pia uwe na wikiendi njema..Hivi shemejio ODM alishakuambia mkewe wa kwanza alikuwa ni nani?



Hajawahi! hua tu nasikia rumors.... Nihabarishe dear kama wajua maana inanikwaza kweli kua simjui.....
 
Back
Top Bottom