MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Thanks MJ1, babu yako anavyokupenda sijui umemlambisha nini!?
Mi nadhani it's about time ukaacha kushikilia dripu, babu amepona, anachofanya sasa hivi ni kudeka tu, hana lolote:lol:
Hahahahhaha Mwita afadhali umethubutu kulisema yaani amesharudisha mahari za watu kibao, wakati mwenzie mvi vishaanza kutoka kwenye vinyweleo!
We muache antampandisha presha na mimba ya shamba boy wake! ye anadhani mie sina mahitaji!