Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Stage hiyo nina uhakika hawezi kuikosa kwan kanuni za BABU wanazijua,Kikubwa wasikose wakati wa kukaguliwa! Maana sasa mamboa yooote yaenda vizuri na maandalizi soon yatakua super! Saizi naanza ku relax sasa..... Dah!
Bila ukaguzi wake unakosa hata Qualification za kuwa JF,
Na mbaya zaidi unakua usha jidisqualify kuwa mjuu wake hata ukipata mchumba babu hatatoa idhin ya kuolewa.