AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
:A S 465:"Darling :A S 465: shem :A S 465: ODM":A S 465:
Najua mwaka kwako umeanza vibaya... Na I know ilifika a time ukaona kama
Mungu kakutupa vile....
Uzuri ni kwamba wewe Mwenyewe umekuja realise kua sio kweli...
God is still with you ila tu ni majaribu ambayo kila Mwanadamu hupitia.
Ukiwa kama a man of responsibilities, a father and a husband it is really really challenging i
f life takes toil on you. But sababu wewe ni MWANAUME BANA (Source: Asprin) kwa nguvu
za Mwenyezi Mungu umeweza himili hayo matatizo ya siku zote, na bado wasonga...
Today is your birthday na labda waweza feel worse sababu you are still on bed...
I am hoping ile thread ya "ODM: Ready, Set... and Gooo" is really really applying....
We need you jamvini na we have Missed you a lot! Kuna wajukuu kibao wakusubiri kwa hamu
kutambulishwa, hopefully you make it soon to full recovery!
Asprin today make the most of it... hata kama bado upo kitandani na watumia
torch ya mama Matesha hapo kuja hapa JF, make it a fun day, ongea ya
akina Matesha walau mcheze hata games
(for I know ukiwa mzima ni mara chache hua wapata nafasi kama hizi
adimu za kuongea na watoto);
na huwezi jua at the end of the day labda hata utapata nguvu ya
kwenda mlimani na Mama Matesha! lol
:A S-rose::A S-rose::A S-rose:....HAPPY BIRTHDAY ODM with LOVE.....:A S-rose::A S-rose::A S-rose:
Pamoja Saana
AshaDii
P.S
Tokana na hali yako tumeshauriana wanafamilia sherehe itafanyika rumuni kwako!
Wifi King' na Sweetlady watakuja msaidia Mama Matesha kuweka
chumba katika hali presentable... Of coz usihofu kuhusu kinywaji Sweetie atawakilisha.
Nasikia saizi waruhusiwa tu Shark, appletiser na Red bull...lol
@Mwanajamii Moja!!
Shosti ndio nini kunisababishia napigiwa simu ya Mihasira na ODM? Eti kisa nimekuudhi mjukuu wake Mtakatifu na Mtiifu kwa kuto kuku-acknowledge kwa kazi kubwa
umefanya ya kushikilia ma Drip wakati anaumwa...
(Sijawahi muona/msikia ODM this MAD! Kumbe mkali eeeh? Dah!)
Enways.... MJ1 Mjukuu Mtiiifu wa Babu, Mjukuu Original wa Babu, Mjukuu wa wajukuu wa Babu;AshaDii anaomba MSAMAHA Kwa kuto kutaja.... Naomba wapitie na Shem RR, (na Fidel - hope atanitetea), Karibuni kwa Breakfast kabla ya kuenda huko.... Mimi na Sweetie (Roulette atakua M/Kiti) waiting hapa tutatue hiyo case. Alafu MJ1 Niombee Msamaha kwa Babu basi! Khaa!
Ngoja tu nilog off mpaka hii case iishe!